Wewe unashangaa ya spika tu! Heee! Wagombea je?
Kilichonisikitisha ni uwezo mdogo kabisa kabisa wa wanasiasa hawa kujieleza kwa lugha hiyo maana naamini walijiandaa.
Kumbe tatizo siyo hesabu tu, Nadhani tukiendelea kuwachunguza huenda hakuna kinachoeleweka bungeni.
Sasa naona chanzo cha wakenya kutuburuza huko East Africa Community. Kujieleza ni hivyo, je, ukizuka ubishi itakuwaje?