Spika wetu anapotamka 'Sank You' badala ya 'Thank You'

Spika wetu anapotamka 'Sank You' badala ya 'Thank You'

Wewe unashangaa ya spika tu! Heee! Wagombea je?

Kilichonisikitisha ni uwezo mdogo kabisa kabisa wa wanasiasa hawa kujieleza kwa lugha hiyo maana naamini walijiandaa.

Kumbe tatizo siyo hesabu tu, Nadhani tukiendelea kuwachunguza huenda hakuna kinachoeleweka bungeni.

Sasa naona chanzo cha wakenya kutuburuza huko East Africa Community. Kujieleza ni hivyo, je, ukizuka ubishi itakuwaje?
Dah ubishi tunaomba usitokee maana tutaacha wenye kujua ngeli waconclude yaani kuburuzwa kwa kwenda mbele! Kama mambo ndo haya hata mkuu wao nae ngeli less twafwa!
 
hivi kipengere kipi cha bunge kinaweza kumuwajibisha huyu spika kwa kikiuka matamshi ya LUGHA?

Kwa mwendo huu mama huyu atachungulia kusiko
 
The 1st day Spika akihojiwa na BBC alisema "....sitakuwa na tatizo na wabunge wenye FAKSI" akitaka kumaanisha wenye FACTS.
 
Nilikuwa napigwa butwaa wakati wa kujieleza na maswali kwa wagombea viti vya sadc. aibu tupu kwa kweli. mpaka unajiuliza hivi hawa kweli wanapoteuliwa uwaziri wanajipa muda kweli kupitia nyaraka na mikataba ya kimataifa kabla ya kuindhinisha???
mie kingeli changu sio kikubwa lakini siyo bofya kama hawa waheshimiwa kwa kweli. nadhani ukiwa sahihi wa lugha unapaswa usitafsiri wakati unazungumza hapo utakipatia sawa sawa......
aibu kubwa hii
 
Back
Top Bottom