Spirit bora zisizo na harufu baada ya kutumia

Spirit bora zisizo na harufu baada ya kutumia

1. Valeur(valuu) hii ni ni chaguo langu ila shida koo kukauka usiku.

2. Smartgin hii ni nzuri sana hata ukinywa kavu haina shida,kasoro tu chipa yake ni plastiki.

3. Kiwingu hii naipitisha kwa 80% sababu haina harufu,hata uchanganye na safari lager asubuhi unaamka kama ulilalia maji ya bomba yan haina hangover hata kidogo.

4. Bongo don, wanajitahidi ila wanapima ndogo sana kama konyagi afu bei ni moja.

5. Roboti hii mwanzoni ulikuwa ukinywa unakuwa kama roboti kweli,ila siku hizi haina maajabu sana harufu ya pipikali(tropical mint) ila chuoa ya plastiki ndio shida yao.

Nawaletea mjaribu na nyie pia.
Ipi inanikisha mdomo??
 
Mwanangu big up.. unajua pombe zote za bei rahisi za kutaftia usingizi... kuna master pia mtaani... anyway robit safi kama hutaki kulala
Ulitakiwa uwe kazini vibaruani huko unachakarika. Yani taifa letu tuna zalisha vijana
 
[emoji1][emoji1] Motivational speakers bana.

IMG_8080.jpg

Dogo take it only one shot
 
Napenda sana niko mambele lakini nachangia katika ujenzi wa taifa kwa kutuma hela nyingi nyumbani. Nimerudi ghetto leo alfajir baada ya kuchakarika kwenye food deliver nilianza mchana jana ijuma. It is not easy

Ndio napenda wachakarikaji sio kujilalamisha bila sababu
 
Huo muda wa kunywa hizo spirit mnatoaga wapi? Mbona watanzania mnapenda na kuendekeza sana anasa tu na wakati wengi wetu ni unproductive?

Wa machinga watanzania wenzenu sasa hivi wanaonewa na kuteseka nyie mmebaki kushadadia mispirit inayotengenezwa na dawa za kuhifazia maiti. Kama taifa Tunaelekea wapi?

Ukinywa maji tu utapungukiwa na nini?
Kila mtu na maamuzi yake na muda wake, wewe siyo kiranja humu ndani. Nenda kaandamane na wamachinga uone kama kuna mtu atakukataza, au kunywa hayo maji uone kama kuna mtu anajali. Bia tamu japo jamaa anazungumzia sipiriti [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
1. Valeur(valuu) hii ni ni chaguo langu ila shida koo kukauka usiku.

2. Smartgin hii ni nzuri sana hata ukinywa kavu haina shida,kasoro tu chipa yake ni plastiki.

3. Kiwingu hii naipitisha kwa 80% sababu haina harufu,hata uchanganye na safari lager asubuhi unaamka kama ulilalia maji ya bomba yan haina hangover hata kidogo.

4. Bongo don, wanajitahidi ila wanapima ndogo sana kama konyagi afu bei ni moja.

5. Roboti hii mwanzoni ulikuwa ukinywa unakuwa kama roboti kweli,ila siku hizi haina maajabu sana harufu ya pipikali(tropical mint) ila chuoa ya plastiki ndio shida yao.

Nawaletea mjaribu na nyie pia.
Sema mimi sipigi spirit, nataka kujaribu Kiwingu
 
Back
Top Bottom