Spirit bora zisizo na harufu baada ya kutumia

Spirit bora zisizo na harufu baada ya kutumia

Huo muda wa kunywa hizo spirit mnatoaga wapi? Mbona watanzania mnapenda na kuendekeza sana anasa tu na wakati wengi wetu ni unproductive?

Wa machinga watanzania wenzenu sasa hivi wanaonewa na kuteseka nyie mmebaki kushadadia mispirit inayotengenezwa na dawa za kuhifazia maiti. Kama taifa Tunaelekea wapi?

Ukinywa maji tu utapungukiwa na nini?
Kwani kununua spirit dakika 1 inaisha?
 
Hatua niliyochukua katika nafasi yangu ni kufanya kazi na uzalishaji mali. Siyo kuendekeza anasa anasa kwenye vitu ambavyo havina tija namanufaa kwangu na taifa kwa ujumla. Hii imeniwezesha mimi pamoja na walionizunguka 'kupanua' wigo mpana katika mustakabali mzima wa taifa letu na kwa maslahi mapana ya taifa letu.
Ok sasa kama umeshafanikiwa unalia nini tena? Au una huruma sana na sisi?
 
Hatua niliyochukua katika nafasi yangu ni kufanya kazi na uzalishaji mali. Siyo kuendekeza anasa anasa kwenye vitu ambavyo havina tija namanufaa kwangu na taifa kwa ujumla. Hii imeniwezesha mimi pamoja na walionizunguka 'kupanua' wigo mpana katika mustakabali mzima wa taifa letu na kwa maslahi mapana ya taifa letu.
Ww umejuaje mimi sizalishi mali? Napata wapi pesa ya kutumia? Ww na uzalishaji wako kama hutumii pesa unafikiri ina faida gani kwa jamii?
 
Mkuu ila wewe kuchakarika kwako ni kizembezembe. Hivi unafikishaga mzigo Congo kwa mda uliopangwa.
Russia wanakunywa sana pombe lakini ndio hao walifika mwezini kabla ya nchi yeyote.., kikubwa drink responsibly, Kwanza kupiga ulabu ni njia bora ya kuchangia mapato serikalini sasa wewe unapinga maendeleo..
 
Huo muda wa kunywa hizo spirit mnatoaga wapi? Mbona watanzania mnapenda na kuendekeza sana anasa tu na wakati wengi wetu ni unproductive?

Wa machinga watanzania wenzenu sasa hivi wanaonewa na kuteseka nyie mmebaki kushadadia mispirit inayotengenezwa na dawa za kuhifazia maiti. Kama taifa Tunaelekea wapi?

Ukinywa maji tu utapungukiwa na nini?
Halafu ukute hapo we kutwa unashindia ngono na kubadilisha malaya!! Hopeless!
 
Napenda sana niko mambele lakini nachangia katika ujenzi wa taifa kwa kutuma hela nyingi nyumbani. Nimerudi ghetto leo alfajir baada ya kuchakarika kwenye food deliver nilianza mchana jana ijuma. It is not easy
Inaonekana kubeba mabox kumekuchanganya akili wewe; hebu tupumzishe japo kidogo
 
Hatua niliyochukua katika nafasi yangu ni kufanya kazi na uzalishaji mali. Siyo kuendekeza anasa anasa kwenye vitu ambavyo havina tija namanufaa kwangu na taifa kwa ujumla. Hii imeniwezesha mimi pamoja na walionizunguka 'kupanua' wigo mpana katika mustakabali mzima wa taifa letu na kwa maslahi mapana ya taifa letu.
Hizo zako zinaonekana km siasa tu
Si ajabu hapo ulipo unaning'inia kwenye stool ndefu.
 
Back
Top Bottom