Kwani kununua spirit dakika 1 inaisha?Huo muda wa kunywa hizo spirit mnatoaga wapi? Mbona watanzania mnapenda na kuendekeza sana anasa tu na wakati wengi wetu ni unproductive?
Wa machinga watanzania wenzenu sasa hivi wanaonewa na kuteseka nyie mmebaki kushadadia mispirit inayotengenezwa na dawa za kuhifazia maiti. Kama taifa Tunaelekea wapi?
Ukinywa maji tu utapungukiwa na nini?
Ok sasa kama umeshafanikiwa unalia nini tena? Au una huruma sana na sisi?Hatua niliyochukua katika nafasi yangu ni kufanya kazi na uzalishaji mali. Siyo kuendekeza anasa anasa kwenye vitu ambavyo havina tija namanufaa kwangu na taifa kwa ujumla. Hii imeniwezesha mimi pamoja na walionizunguka 'kupanua' wigo mpana katika mustakabali mzima wa taifa letu na kwa maslahi mapana ya taifa letu.
Ww umejuaje mimi sizalishi mali? Napata wapi pesa ya kutumia? Ww na uzalishaji wako kama hutumii pesa unafikiri ina faida gani kwa jamii?Hatua niliyochukua katika nafasi yangu ni kufanya kazi na uzalishaji mali. Siyo kuendekeza anasa anasa kwenye vitu ambavyo havina tija namanufaa kwangu na taifa kwa ujumla. Hii imeniwezesha mimi pamoja na walionizunguka 'kupanua' wigo mpana katika mustakabali mzima wa taifa letu na kwa maslahi mapana ya taifa letu.
Fikiria iyo dakika moja ungekuwa bustanini huko unachakarika kulima mboga mboga ingeleta tija.Kwani kununua spirit dakika 1 inaisha?
Russia wanakunywa sana pombe lakini ndio hao walifika mwezini kabla ya nchi yeyote.., kikubwa drink responsibly, Kwanza kupiga ulabu ni njia bora ya kuchangia mapato serikalini sasa wewe unapinga maendeleo..Mkuu ila wewe kuchakarika kwako ni kizembezembe. Hivi unafikishaga mzigo Congo kwa mda uliopangwa.
😁😁 Si unajua tena vijana wakishaji upgrade kutoka kwny tandiboy kwenda kwny udereva wa masafa marefu wanajiona madon tayari mkuu.Unakuta hela ya bando yenyewe anapiga mizinga
Unakuta hela ya bando yenyewe anapiga mizinga
[emoji16][emoji16] Si unajua tena vijana wakishaji upgrade kutoka kwny tandiboy kwenda kwny udereva wa masafa marefu wanajiona madon tayari mkuu.
Sema mimi sipigi spirit, nataka kujaribu Kiwingu
😁😁 Asante.Kichwa kama delivery [emoji403]
Hii inabidi nifanyie uchunguzi,naona sana ngoja nitestView attachment 1984095
Tofauti ya huu mzigo na Henessy..ni kua bei ya Henessy ipo juu na ni imported. Kitu bomba sana kutokea Shinyanga, package ya kishua..ubora wa uingereza
Halafu ukute hapo we kutwa unashindia ngono na kubadilisha malaya!! Hopeless!Huo muda wa kunywa hizo spirit mnatoaga wapi? Mbona watanzania mnapenda na kuendekeza sana anasa tu na wakati wengi wetu ni unproductive?
Wa machinga watanzania wenzenu sasa hivi wanaonewa na kuteseka nyie mmebaki kushadadia mispirit inayotengenezwa na dawa za kuhifazia maiti. Kama taifa Tunaelekea wapi?
Ukinywa maji tu utapungukiwa na nini?
Mkuu Lusungo please forgive me if I have wronged you.Halafu ukute hapo we kutwa unashindia ngono na kubadilisha malaya!! Hopeless!
Mimi sio mnywaji pombe.ila naona watu inavyowafanya.Ina harufu kali sana
Usijali mkuuOiii utanipa mrejesho ili na mimi nione kama niijaribu au la!
Hii kitu hii huwa nikipiga vitu Sana nashishia shot mbili ulevi unakata sasa shida imekuja ambapo nikiweka tu hii kitu ghafla naumwaView attachment 1984093
Dogo take it only one shot
Inaonekana kubeba mabox kumekuchanganya akili wewe; hebu tupumzishe japo kidogoNapenda sana niko mambele lakini nachangia katika ujenzi wa taifa kwa kutuma hela nyingi nyumbani. Nimerudi ghetto leo alfajir baada ya kuchakarika kwenye food deliver nilianza mchana jana ijuma. It is not easy
Hizo zako zinaonekana km siasa tuHatua niliyochukua katika nafasi yangu ni kufanya kazi na uzalishaji mali. Siyo kuendekeza anasa anasa kwenye vitu ambavyo havina tija namanufaa kwangu na taifa kwa ujumla. Hii imeniwezesha mimi pamoja na walionizunguka 'kupanua' wigo mpana katika mustakabali mzima wa taifa letu na kwa maslahi mapana ya taifa letu.