Mtu anakesha kwenye Udaku TV huko YouTube anafuatilia Kajala amefanya nini leo kuliko masuala ya msingi ya kitaifa,unategemea hata huo muda wa kuongeza maarifa ataupata..?Soma ata historia ya nchi ya Faroes Islands yenye watu 51,000 uongeze maarifa....usidhani kazi ya serikali inaishia kwenye kukusanya kodi tu.
Mbona sister kama umepanic? haya India na China mbona zinazidi kutajirika na kufanya vizuri kwenye technolojia? tuwape maua yao, sikatai hata kule wavivu wapo lakini ni % ndogo sn, sisi huku nyie wavivu ndiyo mpo wengi zaidi. KaribuWewe fala jiheshimu basi, unavyoona hilo jina ni la kike ?
Umewahi kwenda India ukaona watu hawakusanyiki kuongea Ujinga?? Nchi ambayo sio salama kwa watoto wadogo wa kike? Umewahi kwenda China ukaona watu hawadiscuss upuuzi, tiktokers wa US kila uchwao wanapost vitu vya kijinga na wanaongea English. Sometimes tumia maarifa kufikilia sio unawaza kama mtu aliyekatwa kichwa
I find no point of arguing with an ignorant Muppet like you. Fool!
MoU kati ya Kanisa na Serekali hasa katika sekta ya elimu unaona sio tatizo? Tuanze hapaKupata jamii inayo jitambua hivi tuanze na elimu, vijana unao waona sasa wanao deal na. Vitu vya kipumbav ni zao la education system tuliyonayo
Ungelikuwa una akili wala usingenijbu kwa mihemko namna hii ungefikiria kwann nmeandka hvo ukapata jbu na ukanisapot, lkn Ulvokuwa hauna akili ndio umekuja namna hii.Hii nchi inawatu wasiojitambua wengi kama nyinyi mnaofikiri lugha inamchango wowote na kujitambua, wote ni wapuuzi na wachovu wa kufikiria
Hahahahaha ni kweli kbs ,mie huwa nikikaa nae kuna maswali chokozi anakuuliza, ukojaribu kukwepa anakurudisha ktk swali mpk uumpe jibu kamiliHata ukikaa na mwanao anayesoma pre sijui ni nini anajielewa na siyo muoga wa kuuliza maswali magumu
Kujichanganya na watu wengine na kujitambua inahusiana nn?? Asilimia kubwa ya wachina hawafahamu lugha nyingine isipokuwa kichina, hawajitambui pia ???Ungelikuwa una akili wala usingenijbu kwa mihemko namna hii ungefikiria kwann nmeandka hvo ukapata jbu na ukanisapot, lkn Ulvokuwa hauna akili ndio umekuja namna hii.
Lugha yaweza kuwa ni ttzo sababu moja hatuchangamani na watu wa mataifa mengne sababu sisi ni waSwahili tusiozungumza kbs English hvo tunakosa exposures na hatuwezi kuwa kama raia wengine wanavojichanganya huko nchi za watu.
Broo English ni kila kitu hapa duniani kwanza inamfanya mtu ajiamini haswa, angalia Lissu, Chenge, Fatuma Karume, Maria Sarungi n.k ambao wamesoma nje wanajiamini sn, kutana na vichwa vya Udom, Jordan sijui wapi? hovyo tupu. Hakuna mtu amesoma degree nje anaendesha bodaboda hata mmoja ni graduate wa hapa ndani ndiyo wanaendesha bodaboda wakisubiri ajira za serikali, baada ya F4 peleka mwanao nje akasome hata diploma India, Norway, China au UKHahahahaha ni kweli kbs ,mie huwa nikikaa nae kuna maswali chokozi anakuuliza, ukojaribu kukwepa anakurudisha ktk swali mpk uumpe jibu kamili
Na km anatetea kitu anatetea kwa hoja
Kipi ambacho serikali haijafanya wajibu wake mpaka muanze kuhamasisha maandamano?Soma ata historia ya nchi ya Faroes Islands yenye watu 51,000 uongeze maarifa....usidhani kazi ya serikali inaishia kwenye kukusanya kodi tu.
Akili kama hizi ndio zinafanya CCM watunyonye milele..!!!Dogo kapiga kelele nyingi lkn hakuna hata point moja aliyoongea, jenzii wanaandamana na kuharibu nchi Yao kwa faida ya mahasimu ya Ruto, Hao Hao mahasimu wa Ruto hata wakishika kiti Bado hawatawaletea ugali mezani, jenzii wa kenya ni kizazi cha nyoka kilicholaaniwa na hakina adabu.
chawaHuyo jenzii ni mpuuz alitaka serikali impikie ugali ndo ajue serikali inafanya Kazi?
Hapana. Wakati vijana chuo kikuu walikuwa wakiandamana, sehemu kubwa ya jamii iliwaona wahuni. Nguvu kubwa sana iliwekezwa tangu awamu ya nne kufifisha hii spirit ya kupigania haki, ngoja tuvune matunda ya ukondoo wetu.Bongo sisi ni sikio la kufa, ukijichanganya umejitoa sadaka, familia yako itachekwa na kuteseka.
Maneno kama hayo ukiyaongea kwa msisitizo kwa lugha ya kiswahili unaonekana mhuni. Aisee kingereza kizuri sana na kinakupa uwanja mpana sana wa kutoa hisia zako bila kuonekana mhuniNa ccm kwa kulijua hilo watazidi kutoa elimu mbovu iendelee kuwa mtaji wao wa kung'ang'ania kuongoza hii nchi.
Hii ni kweli naunga mkono hojaBroo English ni kila kitu hapa duniani kwanza inamfanya mtu ajiamini haswa, angalia Lissu, Chenge, Fatuma Karume, Maria Sarungi n.k ambao wamesoma nje wanajiamini sn, kutana na vichwa vya Udom, Jordan sijui wapi? hovyo tupu. Hakuna mtu amesoma degree nje anaendesha bodaboda hata mmoja ni graduate wa hapa ndani ndiyo wanaendesha bodaboda wakisubiri ajira za serikali, baada ya F4 peleka mwanao nje akasome hata diploma India, Norway, China au UK
Kweli tupuHii ni kweli naunga mkono hoja
MAARIFA mengi yamefichwa kwenye lugha ya kiingerezaHii nchi inawatu wavivu wa kufikiria, wachovu na wafu.
Watu wamekaa na vichwa vyao vidogo wanawaza kwamba eti English ndo itafanya watu wastaarabike! Fanya research yako, watoto wengi waliofika ngazi ya chuo kikuu walitoka shule za private na wamesoma kwa mtaala wa kiingereza na hakuna wanachokifanya zaidi ya kuslay. Lugha haina impact yoyote na akili za mtu, nasikitika kuona eti hawa ndo vijana wa hili taifa.
Mmekaa na vichwa vyenu vidogo mnawaza vitu vidogo vidogo tu
Ukibadilisha setting ya simu au computer au laptop kwa kiswahili ambayo ni lugha mama ITAKUTOA JASHO πHii nchi inawatu wasiojitambua wengi kama nyinyi mnaofikiri lugha inamchango wowote na kujitambua, wote ni wapuuzi na wachovu wa kufikiria
Sasa benja, kama lugha ni kiungo, sasa mbona unakikana kiswahili? Kwani lengo si kuelewana? Mbona unanitatiza mkuu? Au unataka kupiga ndege wawili kwa jiwe moja?Sikiliza dada angu, lugha ni kiungo muhimu sn bila mawasiliano hamtoboi, fanya research dada angu ni wapi umewahi kuta wanawake wa kihindi au kichina wamekusanyika mlangoni kusema watu au wanakunywa alkasusi wakafanye mapenzi?