Spirit, confidence, elimu, uzalendo, unity - ona kijana mdogo wa Gen Z aliyekamatwa alivyotema madini alivyopandishwa kizimbani

Spirit, confidence, elimu, uzalendo, unity - ona kijana mdogo wa Gen Z aliyekamatwa alivyotema madini alivyopandishwa kizimbani

Tanzania mnapewa elimu duni ndio ngao ya CCM msijitambue.
 
ukikuta wanaoitwa wasomi wakijadili Simba na Yanga utashangaa. Akili yote imo humo.
 
Wasomi wengi ni machawa
Wanasifia hadi mama na yeye anaona ni wazandiki
 
Kwa harakaharaka naona vijana wa kikenya kiakili na kimaamuzi ni next level, tofauti na mataifa mengine Afrika Mashariki, likiwemo Shamba la Bibi.

Sawasawa na Ligi... Vijana wa Kikenya ni daraja la kwanza, Shamba la Bibi daraja la Saba, Mchangani tena kuna mabondebonde viwanjani mwao.

Kijana amemaliza yote! Kanikosha zaidi alipoizungumzia na Congo, Kisha akasema "Inabidi sote tuamke kuipigania Afrika!... Sijui kwanini mnaendelea kuwaendekeza na Kuwaogopa hawa watu"

👍
 
Nionavyo mm vijana wa Kenya wa ss wanaopambania wanayoyapambania... matunda Yao yataonekana km rais atayafanyia kazi na n taifa litakuja kuwa Bora afrika mashariki nasi wa Tz tutaendelea kuchezeshwa kadamseee na CCM mpk tusemeee.,.
 
View attachment 3051096

Waliposema knowledge is power wakenya walichukua hili swala very serious,

Watz wengi hata hatujui kujieleza sababu hatufatilii Mambo ya Msingi yanayohusu maisha yetu. kiujumla

Huyu ni Gen Z kijana mdogo tu lakini waweza ona jinsi elimu ilivyomsaidia kujua nafasi yake, Uzalendo, kujiamini, na mengine kibao, Alikamatwa kwenye maandamano kapandishwa kizimbani mkono moja ukiwa na pingu, Hata hakimu wake hakuweza kumzuia, ilibidi polisi watumie mabavu...
Kabisa
 
Nionavyo mm vijana wa Kenya wa ss wanaopambania wanayoyapambania... matunda Yao yataonekana km rais atayafanyia kazi na n taifa litakuja kuwa Bora afrika mashariki nasi wa Tz tutaendelea kuchezeshwa kadamseee na CCM mpk tusemeee.,.
wameshafanikiwa pakubwa sana hadi sasa, serikali imelazimika kubana matumizi kufidia pesa waliyotaka kuongezea kodi na kukopa nje.... main point Kumbe inawezekana kujibana
 
Kijana katema haswa
Kwetu ni wachache sana wanaoweza kuongea haya
Hata wengi wa wapinzani zaidi ya matusi na kejeli na kusubiri jambo litokee ndio waongelee
Sisi tatizo tunazingatia sana upumbavu kama uchawi na mdau kasema kiswahili maana uswahili na uchawi na ujinga vinaenda pamoja
Yaan jamaa kafunguka Hadi sio poaa
 
Abraham Lincoln's quote, "You can fool all the people some of the time and some of the people all the time, but you cannot fool all the people all of the time," suggests that while deception or manipulation may work temporarily on some individuals or groups, eventually the truth will be revealed, and people will see through the deceit. The quote emphasizes the idea that honesty and integrity are ultimately more powerful than attempts to mislead or deceive others.
Boss hawa wanaelewa wapi walipotoka, walipo na wanapoenda so huwezi wakamata kwenye hoja
 
Huyo jenzii ni mpuuz alitaka serikali impikie ugali ndo ajue serikali inafanya Kazi?
Soma ata historia ya nchi ya Faroes Islands yenye watu 51,000 uongeze maarifa....usidhani kazi ya serikali inaishia kwenye kukusanya kodi tu.
 
Back
Top Bottom