Spiritually kuna nguvu gani iliyopo kati ya Mapepo na Nguruwe?

Spiritually kuna nguvu gani iliyopo kati ya Mapepo na Nguruwe?

The Eric

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2019
Posts
6,446
Reaction score
10,976
Waamini habarini,

Basi kama wewe huamini nguvu zilizopo ulimwenguni basi usipoteze muda na huu uzi maana utaazisha mada mpya tusizotaka.

Najiulizaga kwa kusikia na kuona kwa watu wakikinzana na huyu mnyama kwenye masuala ya mapepo.

Ifahamike nguruwe ni mnyama wa kufugwa ila binafsi nimekuwa nikimuona ana tabia za tofauti sana, mi kwangu huwa namuona ni mnyama asiyekuwa na ujanja au werevu kama wanyama wengine wafugwao. Yuko kama boya boya, yaani zezeta tu yaani no nerve kwake zaidi ya kupumua 😂😂😂 yaani amenenepeana sana vipi mapepo yanamshindwaje huyu boya.

Nakumbuka babu yangu aliishi na jamii ya wasiokula nguruwe zamani sana na alifariki miaka 36 iliyopita alisema msipende kilimo cha nguruwe sana, japo walikuja kufuga.

Wengi wanaanguka wakutanapo na huyu mnyama hasa wanawake, pia waganga baadhi hawaruhusiwi kutumia nguruwe.

Nguruwe anahusishwa vipi wakuu na mapepo. Achilia mbali wanyama kama paka, nyoka, fisi, na kanga mnyama(jamii ya kuku) wao wanatumika na wachawi kama support. Lakini nguruwe na mbwa wao ni wakinzani hawaendi sawa sawia na uchawi pia mbwa hapendwi na hawa mapepo kama ilivo kwa nguruwe.

Nasubiri waamini tu cc mshana mtani wangu.
 
Seat yangu ni namba moja leo, kwenye huu Uzi matata!! Mshana where you at bro? Uje umwage nondo!
 
Kwa nini tuna amini kwamba mshana mpekee ndie mjuzi wa aya mambo inwezekana kuna wajuzi zaidi yake mm ningependa kusema yyte mwenye kujua hili suala hatujuze.
 
Mr.pig
Screenshot_20210308-085333_1.jpg
 
Unaongelea waganga wa kitambo.

Siku hizi waganga wa kienyeji wanatuma wateja wao wakawaletee nguruwe,story za kaniletee kuku mweusi wameacha.
 
Seat yangu ni namba moja leo, kwenye huu Uzi matata!! Mshana where you at bro? Uje umwage nondo!
Mapepo yanawaogopa nguruwe .Waliwafanyia kitu kibaya kipindi cha Yesu yakabeba mapepo yakaenda kuyatupa baharini

mtu mwenye majini akila nguruwe majini yanamtoka
 
Waamini habarini,

Basi kama wewe huamini nguvu zilizopo ulimwenguni basi usipoteze muda na huu uzi maana utaazisha mada mpya tusizotaka.

Najiulizaga kwa kusikia na kuona kwa watu wakikinzana na huyu mnyama kwenye masuala ya mapepo.

Ifahamike nguruwe ni mnyama wa kufugwa ila binafsi nimekuwa nikimuona ana tabia za tofauti sana, mi kwangu huwa namuona ni mnyama asiyekuwa na ujanja au werevu kama wanyama wengine wafugwao. Yuko kama boya boya, yaani zezeta tu yaani no nerve kwake zaidi ya kupumua [emoji23][emoji23][emoji23] yaani amenenepeana sana vipi mapepo yanamshindwaje huyu boya.

Nakumbuka babu yangu aliishi na jamii ya wasiokula nguruwe zamani sana na alifariki miaka 36 iliyopita alisema msipende kilimo cha nguruwe sana, japo walikuja kufuga.

Wengi wanaanguka wakutanapo na huyu mnyama hasa wanawake, pia waganga baadhi hawaruhusiwi kutumia nguruwe.

Nguruwe anahusishwa vipi wakuu na mapepo. Achilia mbali wanyama kama paka, nyoka, fisi, na kanga mnyama(jamii ya kuku) wao wanatumika na wachawi kama support. Lakini nguruwe na mbwa wao ni wakinzani hawaendi sawa sawia na uchawi pia mbwa hapendwi na hawa mapepo kama ilivo kwa nguruwe.

Nasubiri waamini tu cc mshana mtani wangu.
Nakuja hapa
Screenshot_20210306-115726.jpg
 
 
Kwa nini tuna amini kwamba mshana mpekee ndie mjuzi wa aya mambo inwezekana kuna wajuzi zaidi yake mm ningependa kusema yyte mwenye kujua hili suala hatujuze.
yeye ni mwakilishi wapo wengi mshana, et al.
 
tayari boss umefika.
 
Back
Top Bottom