Sporah show Diamond akipasua yai

Sporah show Diamond akipasua yai

Ni wakati wao waacheni wapete tuuu...!
 
Hajielewi bi mdada... cha ajabu anaanza kwa kusema "wenzetu Ulaya wanalipia madola kujifunza kiswahili..." Kitu ambacho hafahamu ni kwamba, kulipia dolali ili kufahamu Kiswahili wala haina maana kwamba hawazitaki lugha zao bali inaonesha watu wanavyo-struggle kufahamu lugha za kigeni kama alivyofanya Diamond ku-struggle kukifahamu kizungu!

People should learn how to appreciate.........
 
yani mtu anaanzisha thread ili kuangalia "kachapia wapi" badala ya "kapatia wapi". hii ndio bongo.
 
Wenzenu ulaya wanakilipia midola kibao ili wajifunze kiswahili nyie leo mnaona ufahari kujisifia kizungu hebu nendeni nje muone mzungu anavyopigana kuongea kiswahili ukimsemesha anafurahi hasa yaani nchi bado tunamalimbukeni hasa mara mtasema domo ndio mwanamuziki wa kwanza tz kuongea kizungu hamuishi du

mdada unachoshindwa kuelewa kwamba kiingereza Ni lugha km kisukuma ILA tofauti iliyopo kiingereza Ni potential language dunia nzima ,kataa kubali ukwel hautobadilika
 
Mkuu kuna kimombo cha aina mbili formal na informal,Baddest unaweza kulitumia kama "The very Best at Something"

~~~~~~~~
1.
   
Baddest
Toughest, coolest.
Always used complimentary, unless used by
someone who has poor grammar and does not
know that the superlative form of "bad" is
"worst".
Ironically, "baddest" and "worst" are complete
opposites, despite the fact that at first glance,
they appear to be synonyms.
Don't mess with Harold, he's the baddest one
here!
by Rodney Basil July 10, 2004
     
 227  51
 
 Merch
Words related to Baddest
bad bad best best badder badder bitch bitch
sexy sexy macayla macayla worse worse worst
worst badest badest b.b.a. b.b.a.
 Random Word
2.
   
baddest
Supreme in status or standing. The very best at
something. The Ultimate Champion or Warrior.
Ultimate Title or Crown. The Highest Honor. The
Greatest.
The Champion of the World is the baddest dude
out there. The baddest dude is second to none.
by Reverend Thabiti November 28, 2005
     
 101  29
 
 Merch
3.
   
baddest
Wrong slang to say "the worst".
You be the baddest here!
by Fangsta December 15, 2003
     
 19  96
 
 Merch
4.
   
baddest
urban synonym for 'the worst'; alternatively it
may mean the best.
1. da baddest book-keeper
by dabaddestguy July 05, 2009
     
 33  46
 
 Merch
5.
   
Baddest
A woman who is in control of herself and her
sexuality or a sexually domineering woman.
A woman who is proficient at sensual and sexual
acts.
Watch out for her, she is a baddest.
by sketchokiri July 21, 2009
~~~~~~~~~~


A million dollar WORTHY POST..HONGERA mKUUUUUUUUUU........... :A S crown-1:
 
Naona huku jamii tumeingiliwa kwan huku tunapaswa kujadil mambo yenye tija na si umbea ,hiyo mada ipeleke facebook.over!
 
Wenzenu ulaya wanakilipia midola kibao ili wajifunze kiswahili nyie leo mnaona ufahari kujisifia kizungu hebu nendeni nje muone mzungu anavyopigana kuongea kiswahili ukimsemesha anafurahi hasa yaani nchi bado tunamalimbukeni hasa mara mtasema domo ndio mwanamuziki wa kwanza tz kuongea kizungu hamuishi du

Sasa wenzetu wakilipia Madola ili kukijua kikwetu, ni makosa na sisi tukilipia Madola ili kukijua kikwao?

What's your point my dear?
 
Acha kuropoka usichokijua..ni wp mdau amesema clouds IPO dstv? Sporah show ni independent producer kama mboni show ..vpindi vyao vinanunuliwa na dstv!

Btw dogo ukimsikiliza kwa makini anajiuma uma mno na grammar inamsumbua! Ila anaonesha jitihada! Eti Davido ni the baddest musician in Africa! Good gooder goodest..teh

Sasa wewe unategemea mtu aliyejifunza Kiingereza mtaani tena ukubwani asisumbuliwe na grammar? Hao graduates tu kibao tunaona kiingereza kinawashinda. Acheni roho mbaya dogo anajitahidi bwana, halafu watu hawajui kuwa kuongea mbele ya camera sio kitu rahisi. By the way neno "baddest" wasanii hata wa marekani huwa wanalitumia sioni tatizo liko wapi ni lugha tu ya mtaani.
 
Ila aisee hata mimi nilimtazama na kumsikiliza dogo! Kwa kujua kule alikotoka, Diamond amepiga hatua sana kwa kiwango alichoongea! Hongera bwanamdogo!
 
Naona huku jamii tumeingiliwa kwan huku tunapaswa kujadil mambo yenye tija na si umbea ,hiyo mada ipeleke facebook.over!

Watu kwa kujifanya mko serious!!!!!!!!!!!!! hata hayo mambo yenye tija yaweze3kana huyajui kwasababu tukileta mada unayodhani ina tija sidhani kama utachangia chochote cha maana, zaidi uta gonga like tu.
 
Nimeona tangazo la sporah show clouds tv itakayofanyika leo J4. diamond akiongea ung'eng'e wa hatare, kumbe jamaa sasa hivi kimombo kinapanda eeh

msisahau kufatilia mtupe update alichochapia!" au alichopatia.

by the way hivi mwana nae anajua kuongea hata sentensi moja ya kingereza kweli?! mana cjawahi kumsikia.

Grand PA

Mbona kingereza ni lugha kama lugha nyingine tuckomplecate wa kuu
 
Ila aisee hata mimi nilimtazama na kumsikiliza dogo! Kwa kujua kule alikotoka, Diamond amepiga hatua sana kwa kiwango alichoongea! Hongera bwanamdogo!

Frankly speaking kwa kweli hata mimi kanivutia, it took few minutes kuamini if that was the same diamond of yesterday, khaa kwa kweli anajitahid sana, safi sana diamond, mungu akubariki ufanikiwe, maana miaka ya juzi ukihojiwa kimondo had unatia huruma, big up kwa kweli
 
Jamaa Domo yupo vizuri sana kwa ngeli nimemkubali,kiranga na Nyani watatusaidia kugundua makosa ya kiufundi zaidi ila domo yupo safi big up wema kwa kumnoa!

mmh!! Hapana kwa kweli kile kiingereza ingekuwa imeandikwa halafu watu wakasema ndo diamond kasema vile, ningebisha hadi siku ya mwisho, meen it was amazing, kwa kweli nilibaki naduwaa is this diamond of tandale? Who has never went to any english medium school? Yule mburulaz? Duh kwa alipofikia kwa kweli he is doing much bettr, kanishangaza
 
Swala si ufahari labda ni kuulize kwanini secondary na universities wanafundishwa kwa kingereza?

Kingereza kina cheza nafasi kubwa linapo kuja swala la biashara hasa kimataifa! Ni kweli si kila mtu anatakiwa kujua kingereza na kujua kingereza au kutaka kukijua si utumwa bali inaweza ikawa ni hitaji hasa kama unataka uwasiliane kirahisi na watu wa mataifa!

Kwa biashara ya muziki ni muhimu kuijua lugha ya kingereza ili uweze kufanya kirahisi biashara ya muziki maana hata kama unataka kushirikiana na mtu anaye imba kingereza lazima muwasiliane nae kwa lugha hiyo hata kama kwenye wimbo wako hutoimba kingereza!

Kwa hali ya sasa kama unataka kupanuka kimataifa ni vyema kujua kingereza ili uweze kuwasiliana!

Katika hili nampongeza sana Diamond kwakweli kanifurahisha sana sana!

NDo nilikuwa naangalia apa clouds, mi uwa simkubali ndomo ata, ila kwa lugha kwa kweli kanishangaza sana, he is doing well kwa kweli, nimempenda bure, mungu amasaidie aisee, kweli nimeamini hakuna kinachoshindikana duniani, its another big step kwa kwel, he deserves shout out
 
Wenzenu ulaya wanakilipia midola kibao ili wajifunze kiswahili nyie leo mnaona ufahari kujisifia kizungu hebu nendeni nje muone mzungu anavyopigana kuongea kiswahili ukimsemesha anafurahi hasa yaani nchi bado tunamalimbukeni hasa mara mtasema domo ndio mwanamuziki wa kwanza tz kuongea kizungu hamuishi du

what is your point??? kwa vile wanzungu wanapigana kujua kiswahili hivyo sisi hatuna haja ya kujifunza tena kingereza??? jipange upya
 
Back
Top Bottom