Magufuli hajui bingwa ni nani?.. au wewe taja bingwa wa vpl msimu huu.Wameshindwa kuthibitisha mbele ya Rais Magufuli ndio sembuse huko nchi jirani.
Wewe una wazimu siyo bure.
Mmh. Kaka ake kumbe na weye upande wa pili ni Mtani wangu.Bocco..?
Okwi..?
Kila la kheri SSC
muda????????
Saa tisa kamili Wakuu.muda plz
Ewaaaaaaaa. Hahahaaaa.Simba karibuni nyumbani
Kila lakheri K Sharks
Saa tisa Mkuu. Inakaribia kuanza sasa.Mechi saa ngapi?!
muda plz
Siye tunawaiteni vyuraaaa[emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] hahaaaMmh. Kaka ake kumbe na weye upande wa pili ni Mtani wangu.
Haya kila la kheri. Ila kwa mbaali mkifungwa ndio furaha kwetu wana Jangwani. Hahaaaa.
Hahaaa! Hata wewe?Ewaaaaaaaa. Hahahaaaa.
Hahaaa. Tunakubali tu sie hatuna jinsi kaka.Siye tunawaiteni vyuraaaa[emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] hahaaa
Weka link basi tufuatilie uwanjani, nitazuga niko busy na ripoti kumbe nipo live KENYALeo michuano ya Sportpesa inaendelea huko Nairobi baada ya timu mbili za Tanzania, Yanga na JKU kuondoshwa hapo jana.
Yanga iliyoondoshwa kwa kipigo cha mbwa koko cha goli 3-1 huku JKU ikipata kipigo cha mbwa mwizi cha 3-0 huku zote zikifungashiwa virago kurejea nyumbani.
Leo timu mbili za Tanzania zitashuka dimbani, mabingwa wa Tanzania Bara Simba SC watakipiga dhidi ya K.Sharks huku Singida united wakipiga dhidi ya AFC Leopards. Mechi ni saa 9 kamili alasiri
Swali linabaki je, Simba itafanikiwa kuliokoa jahazi hili la Tanzania?
Kikosi cha simba kimetoka
View attachment 793691
Mechi imeanza tayari
Hahahaaaa. [emoji85] [emoji85] [emoji85]Hahaaa! Hata wewe?
Kama uko home Mkuu Angalia Startv, Kcb au K24 zinaonyesha game hizo.Weka link basi tufuatilie uwanjani, nitazuga niko busy na ripoti kumbe nipo live KENYA
Anguko lenu baya sana( wakimataifa) saivi kila mnapogusa mnapigwa tu.Hahaaa. Tunakubali tu sie hatuna jinsi kaka.
Star tv??? longtime nilishailock, hivi Azam Tv hawaoneshi???Kama uko home Mkuu Angalia Startv, Kcb au K24 zinaonyesha game hizo.
Leo michuano ya Sportpesa inaendelea huko Nairobi baada ya timu mbili za Tanzania, Yanga na JKU kuondoshwa hapo jana.
Yanga iliyoondoshwa kwa kipigo cha mbwa koko cha goli 3-1 huku JKU ikipata kipigo cha mbwa mwizi cha 3-0 huku zote zikifungashiwa virago kurejea nyumbani.
Leo timu mbili za Tanzania zitashuka dimbani, mabingwa wa Tanzania Bara Simba SC watakipiga dhidi ya K.Sharks huku Singida united wakipiga dhidi ya AFC Leopards. Mechi ni saa 9 kamili alasiri
Swali linabaki je, Simba itafanikiwa kuliokoa jahazi hili la Tanzania?
Kikosi cha simba kimetoka
Fuatilia moja kwa moja hapa;