Hahahaaa. Utawaweza hao. Kama wamemwagiwa maji vile leo.Nasikia dk 90 tayari, yamepewa dk 6 yabadili matokeo. Mikia bana, yatakuja na soga, sisi tumetoa droo
Hahahaaaa. Safi sana.Nafatilia kwa ukaribu sana
ngapi ngapiNafatilia kwa ukaribu sana
Hahahaaa. Lol.tunasubiri matuta ivi ukiisha ivi mini kinafuata.....
Mikwaju ya penatingapi ngapi
Umeangalia mechi au umekurupuka?Simba tandika hao nyang'au bao tatu
Hahahahasimba na yanga ni mapacha tu
leo simba nae atabebeshwa virago vyake kurudi nyumbani
hii michuano azam angekuwepo ndio ningeongea mengine hapa
HatujiHahahaaaaa. Watani zangu mje sasa jamaani lol
Hahaaa. Najua mtakuja tu Mtani sababu nawajua hasa yaani sio kidogo.Hatuji
Kwa nini azam hajaenda?simba na yanga ni mapacha tu
leo simba nae atabebeshwa virago vyake kurudi nyumbani
hii michuano azam angekuwepo ndio ningeongea mengine hapa
Hahaaa. Najua mtakuja tu Mtani sababu nawajua hasa yaani sio kidogo.
3-2Matokeoo vipi
Kwa nini azam hajaenda?