Sportpesa Super Cup: Kariobangi Sharks FC 2-3 Simba SC, uwanja wa Afraha. Simba inasonga hatua ya nusu fainali

Sportpesa Super Cup: Kariobangi Sharks FC 2-3 Simba SC, uwanja wa Afraha. Simba inasonga hatua ya nusu fainali

Amini usiamini Leo tunaibuka kidedea ndo ujue "this is Simba" ( in Manara's voice) [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nipo hapa nasubiri updates kaka nione mtakavyoshinda. [emoji12] [emoji12].

Pia niseme tu hamchezi na timu kama Njombe Mji. Hahahaaaaa.
 
Nipo hapa nasubiri updates kaka nione mtakavyoshinda. [emoji12] [emoji12].

Pia niseme tu hamchezi na timu kama Njombe Mji. Hahahaaaaa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] subiri uone wataalam wa soka wanavyotoa kipondo cha mbwa koko! Yanga njaa imezidi!

Wakitufunga unitag!
 
Leo michuano ya Sportpesa inaendelea huko Nairobi baada ya timu mbili za Tanzania, Yanga na JKU kuondoshwa hapo jana.

Yanga iliyoondoshwa kwa kipigo cha mbwa koko cha goli 3-1 huku JKU ikipata kipigo cha mbwa mwizi cha 3-0 huku zote zikifungashiwa virago kurejea nyumbani.

Leo timu mbili za Tanzania zitashuka dimbani, mabingwa wa Tanzania Bara Simba SC watakipiga dhidi ya K.Sharks huku Singida united wakipiga dhidi ya AFC Leopards. Mechi ni saa 9 kamili alasiri

Swali linabaki je, Simba itafanikiwa kuliokoa jahazi hili la Tanzania?

Kikosi cha simba kimetoka

18' Matokea bado ni 0-0

Fuatilia moja kwa moja hapa;


simba anashinda 2-0
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] subiri uone wataalam wa soka wanavyotoa kipondo cha mbwa koko! Yanga njaa imezidi!

Wakitufunga unitag!
Hahahaa. Eti Wataalam lol.

Usijali kaka. Ntakutag. Mie tena. Hahaaaa.
 
Simba mwaka huu wao wachukue vihera hivyo na watacheza na timu gani majuu huko......ila Simba anashinda 2-0 kaliobangi
Unaangalia game yenyewe lakini Mkuu au unasema tu watashinda mbili.

Kama bahati ni yao huenda wakashinda ila nje ya hapo. Sioni dalili Mkuu.
 
Huu mpira wenyewe labda itokee tukashinde kwa matuta tu naona uwanja nao hauvutii Sana kuweka mpira chini.

So far jamaa wako vizuri kiasi kutuzidi wametengeneza nafasi nyingi zawazi zakufunga,.
 
Back
Top Bottom