SportPesa Super Cup: Singida United yawa mshindi wa 3! Simba yapigwa 2-0 na Gor Mahia, yawa mshindi wa 2

SportPesa Super Cup: Singida United yawa mshindi wa 3! Simba yapigwa 2-0 na Gor Mahia, yawa mshindi wa 2

Kwanza poleni Ndugu zangu Wana Simba. Lile goli la kwanza alilofungwa Simba ni kosa la nani?.
 
Aitheee ndio nin umeandika ndugu yangu

ok poa subir wakeleketwa wa jf waje na nondo za mitusi
 
Hahahaaaa. Kapakatwa mtu huko. Teh teh
Haa haa haa et n mwendo wa ziiiiiiiiiiiiiii
The the gormahia co wakimchezo

Acha wanaume twende London bhana
Dada zetu warud tu bongo kuuza sket
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
wamemuumiza kipa wetu tunaenda fifa

Hahahaha timu mbovu tangu game la 1, nilijua watalia tu
 
Daahaa tusubiri na kagame sasa sijui kombe litavuka mpaka
 
[QUOTE="Koryo2, post: 27446869, member: 401150"Ndugu zangu Wana Simba. Lile goli la kwanza alilofungwa Simba ni kosa la nani?.[/QUOTE]
Kosa la CCM
 
Viongozi wa Simba acheni usajili wa kipumbavu, angalieni viwango sio tu mchezaji katufunga ligi kuu ndio mnamsajili angalieni ilo salamba leo kama mzigo vile
 
Haa haa haa et n mwendo wa ziiiiiiiiiiiiiii
The the gormahia co wakimchezo

Acha wanaume twende London bhana
Dada zetu warud tu bongo kuuza sket
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hahahaaa. Lol.
 
Back
Top Bottom