Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Ndio utani wa jadi huo Shoga. Au hujui mpira weyeeee.Mkuu hao wanavyoshangilia utafikiri walishinda kumbe walishashindwa siku nyingi
Tunalijua hilo ndio sababu tuko hapa kuwaangalia watani zetu. Hivyo tuliza nafsi mwaya ni utani tu huu wala hatupo serious.