Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Jun 10, 2018 #281 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna watu wangeshinda wangeng'oa viti vya ndege bure Hajar said: Uelekeo kwa Everton. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Click to expand...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna watu wangeshinda wangeng'oa viti vya ndege bure Hajar said: Uelekeo kwa Everton. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Click to expand...
Dr Matola PhD JF-Expert Member Joined Oct 18, 2010 Posts 60,050 Reaction score 104,466 Jun 10, 2018 #282 Songa Heri said: Kocha wa Simba alisema kwamba waandae suti za kuvaa ulaya washachukua kombe [emoji16][emoji16][emoji16] Click to expand... Huyo Kocha baada ys kuona ubabaishaji mbona alishasepa?
Songa Heri said: Kocha wa Simba alisema kwamba waandae suti za kuvaa ulaya washachukua kombe [emoji16][emoji16][emoji16] Click to expand... Huyo Kocha baada ys kuona ubabaishaji mbona alishasepa?
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Jun 10, 2018 #283 Na pia watasingizia kiswahili cha wakenya kimesababisha wasifunge Hajar said: Hahahaaa. Leo lawama zitakwenda kwa Kiwanja. Click to expand...
Na pia watasingizia kiswahili cha wakenya kimesababisha wasifunge Hajar said: Hahahaaa. Leo lawama zitakwenda kwa Kiwanja. Click to expand...
joseph1989 JF-Expert Member Joined May 4, 2014 Posts 17,420 Reaction score 35,765 Jun 10, 2018 #284 Mara kwanza lilikuwa tundu baada ya kutobolewa na kagera, ila leo gorhomaia wameliongeza limekuwa shimo.
Mara kwanza lilikuwa tundu baada ya kutobolewa na kagera, ila leo gorhomaia wameliongeza limekuwa shimo.
M Montserrat JF-Expert Member Joined Sep 9, 2011 Posts 10,938 Reaction score 14,745 Jun 10, 2018 #285 Asante sana Gor Mahia, mmeleta Amani nchini, nimemuona mzungu wao haji kalowa
Crumpy Crumper JF-Expert Member Joined Dec 20, 2016 Posts 2,348 Reaction score 3,305 Jun 10, 2018 #286 Mbaya zaidi kocha wa Gor mahia alikuwaga kocha wa Simba Dylan Kerr
akenajo JF-Expert Member Joined Oct 21, 2012 Posts 1,634 Reaction score 613 Jun 10, 2018 #287 tujipange upya simba mwakani tufanye vyema
Mr.Junior JF-Expert Member Joined Sep 8, 2013 Posts 12,454 Reaction score 11,029 Jun 10, 2018 #288 Mbumbumbu