Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Yap hapo ndiyo tutaelewa nguvu ya timu ya wananchiNaiona yanga ikicheza na lukaku huku simba ikienda matopeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap hapo ndiyo tutaelewa nguvu ya timu ya wananchiNaiona yanga ikicheza na lukaku huku simba ikienda matopeni
Vipi kwako TBC inafaa?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Simba lazima wachukue hili kombe
Haaooo simba wameingia barabarani kuandamanaHawaamini hii kitu...
Nakuru all star ni Timu ya Daraja la pili kenyaYou can't be serious... Mods njooni muone huku.
mbao Daraja la piliHata mbao walioipiga yanga mechi mbili mfululizo ni timu ya daraja la pili...najua hujui kuwa mbao in timu ya daraja lapili iliyopo ligi kuu...ref;jinsi mbao walivyopandishwa daraja
Ahahahhaaaaa....aiseee umenichekesha sana....dungulu........Kuna dungulu moja lina S kubwaaaa likianza kisha replay ikija ushachoka kutazama mpira