Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We kilaza wa umakoloni... Hiyo ni biashara
na kama uliweka hela yako basi uliliwa maana walitoka sare 🤣🤣 🤣 . Si mbaya lakini, uliichangia M-Bet hela ya kuidhamini SimbaHawa hapa Mbet ambao ni wadhamini wa Simba pia walionesha uwezekeno wa Simba S.C kufungwa na Yanga S.C ni mkubwa
Sijakuelewa kabisa bossAcha ujuaji, unadhani Kuna kampuni yoyote ya betting wanatunga odds?? Uliza uelimishwe kijana
Wanachofanya ni kupokea odds na kuziregulate kidogo, au zinapanda na kushuka kutokana na machaguo wateja wao watayoweka(balance the books) ndo maana kampuni zote Duniani zinapishana kidogo tu kwenye odds
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Point Yako hapo kwenye Uzi ni nini mkuu? Mbona umeandika jambo lisilo na mantiki?na kama uliweka hela yako basi uliliwa maana walitoka sare [emoji1787][emoji1787] [emoji1787] . Si mbaya lakini, uliichangia M-Bet hela ya kuidhamini Simba
Sawa, lakini ujue hiyo kampuni ya betting sio wadhamini wa Simba. Kumbuka SportPesa ni wadhamini wa Yanga japo wana mgogoro wa udhamini, labda ndio kilichowapa hasira wakaiondolea imani kabisa mbele ya macho ya mashabiki 🤣Japo Horoya ni timu ya hovyo sana ila odds za Jana zilikuwa hivi..[emoji116]
Mkuuu hua najiuliza sana kuhusu hii kitu,je hizo odds huwa zinapokelewa kutoka wapi?Acha ujuaji, unadhani Kuna kampuni yoyote ya betting wanatunga odds?? Uliza uelimishwe kijana
Wanachofanya ni kupokea odds na kuziregulate kidogo, au zinapanda na kushuka kutokana na machaguo wateja wao watayoweka(balance the books) ndo maana kampuni zote Duniani zinapishana kidogo tu kwenye odds