mzee wa bwaksi JF-Expert Member Joined Dec 1, 2021 Posts 2,255 Reaction score 3,972 Feb 12, 2023 #21 Lupweko said: Sawa, lakini ujue hiyo kampuni ya betting sio wadhamini wa Simba. Kumbuka SportPesa ni wadhamini wa Yanga japo wana mgogoro wa udhamini, labda ndio kilichowapa hasira wakaiondolea imani kabisa mbele ya macho ya mashabiki [emoji1787] Click to expand... Kwaio hapa Mbet wao waliinyima Simba ushindi Kwa sababu gani? Vipi dishi lako limeanza kushake
Lupweko said: Sawa, lakini ujue hiyo kampuni ya betting sio wadhamini wa Simba. Kumbuka SportPesa ni wadhamini wa Yanga japo wana mgogoro wa udhamini, labda ndio kilichowapa hasira wakaiondolea imani kabisa mbele ya macho ya mashabiki [emoji1787] Click to expand... Kwaio hapa Mbet wao waliinyima Simba ushindi Kwa sababu gani? Vipi dishi lako limeanza kushake
C canfi JF-Expert Member Joined Jun 26, 2022 Posts 1,368 Reaction score 1,477 Feb 12, 2023 #22 Betting odds zinapangwa kwa formula ambayo ina-consider factors nyingi. Ni equation. Hazipangwi kiholela
Betting odds zinapangwa kwa formula ambayo ina-consider factors nyingi. Ni equation. Hazipangwi kiholela