Kanali G
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 9,898
- 14,413
Malalamiko fcMara waaamuzi, mara timu zinapanga matokeo, mara wapishi wanahujumu, mara meneja anahujumu, mara senzo anahujumu, mara tume ya ushindani Wana hujumu,mara wasafi arena wana hujumu. Bado Kama Mbumbumbu fc hamji tathimin mtaendelea kutupia malalamiko kwa kila mtu na haita wasaidia. Mnatakiwa mkubali kuwajibika kwa makosa yenu na si kusingizia wengine.