Sports Arena: Kipindi cha hovyo kabisa!

Sports Arena: Kipindi cha hovyo kabisa!

Haingii hata robo kwa Jeff Lea huyo kimeo
Jeff bado mchanga sana, Studio akiwepo Maulid kipindi kinachangamka, amejitengenezea mazingira ya kuaminika na watu wenye ushawishi katika Tahasisi mbalimbali, ana vyanzo vingi vya kupata taharifa anajitahidi kuwainua watangazaji wachanga na kuwajengea kujiamini.

Nikijana mwenye Uthubutu na anajiamini katika kazi yake ndio maana akiiona fursa anahamia kituo kingine.
Mambo ya Usimba na Uyanga yasitufanye tuwe vipofu wa kutokuaona uhalisia wa mambo. Ivi Jeff unaweza ukamwachia studio awe anaendesha kipindi kwa kutangaza pekeyake na kipindi kikachangamka? Jeff anabaki Kama mchambuzi tena mchambuzi mwanafunzi anaye jitahidi, labda baadae anaweza kuwa mtangazaji.
Kitenge sautiyake ina msisitizo Kama Ahmed Lyongo, ana uliza maswali kwa kasi wakati wa mahojiano kama Abdalah majura, ana uwezo wa kutamka majina magumu kwa kirefu na kujiamini Kama Charles Hilal kwa ujumla anamchanyiko mzuri Kama mtangazaji wa kizazi hiki.
 
Jeff bado mchanga sana, Studio akiwepo Maulid kipindi kinachangamka, amejitengenezea mazingira ya kuaminika na watu wenye ushawishi katika Tahasisi mbalimbali, ana vyanzo vingi vya kupata taharifa anajitahidi kuwainua watangazaji wachanga na kuwajengea kujiamini.

Nikijana mwenye Uthubutu na anajiamini katika kazi yake ndio maana akiiona fursa anahamia kituo kingine.
Mambo ya Usimba na Uyanga yasitufanye tuwe vipofu wa kutokuaona uhalisia wa mambo. Ivi Jeff unaweza ukamwachia studio awe anaendesha kipindi kwa kutangaza pekeyake na kipindi kikachangamka? Jeff anabaki Kama mchambuzi tena mchambuzi mwanafunzi anaye jitahidi, labda baadae anaweza kuwa mtangazaji.
Kitenge sautiyake ina msisitizo Kama Ahmed Lyongo, ana uliza maswali kwa kasi wakati wa mahojiano kama Abdalah majura, ana uwezo wa kutamka majina magumu kwa kirefu na kujiamini Kama Charles Hilal kwa ujumla anamchanyiko mzuri Kama mtangazaji wa kizazi hiki.
Anatembelea nyota ya umaarufu aliokuanao Radio One/ITV kipindi kile ambacho vituo vilikuwa vichache, so wasikilizaji lazima tu walikuwa wanawafahamu na kuwatambua watangazaji wachache. Same applies tu hao kina Abubakari Lyongo, Charles Hilary na wengine.

Sasa dunia imebadilika. From online radio stations to ordinary stations, watangazaji wamekuwa wengi sana. Maana yake kitakachokufanya uwe maarufu ni content ya unachoongea na siyo uzuri wa sauti yako. Ndiyo maaana kuna watu wamemsifia George Ambangile hapo juu over watangazaji wengine wa Wasafi. Kwanini?

Huyo Maulid anabebwa na ule umaarufu wa kizamani wa kuona watangazaji wa radio kama masuperstar, enzi ambazo vituo vilikuwa vichache. But kwa sasa ni suala la muda tu watu watahama kwenda kwenye msimamo kuwa utangazaji ni content na siyo umaarufu na uzuri wa sauti.
 
Wasichofahamu baadhi ya watu nikua kwenye Hivi vipindi vya michezo wengi ni wachambuzi tena wengine wanakopi wachambuzi wa kizungu kwenye michezo alafu na wao wanakopi, sasa kwakua Watanzania wengi awafuatilii wanawaona wanajua. Kitenge ni mchambuzi na mtangazaji alafu kitukizuri anawapa wachambuzi na wasikilizaji uhuru wa kuchangia yaani kipindi kinakua Cha umma sicha kituo Cha redio. Alafu zinajadiliwa hoja kwa hoja hakuna majungu na hoja zinazo jadiriwa wahusika wanapata nafasi ya kuzitolea ufafanuzi uo ndio weredi katika kazi.
 
Nipo nakisikiliza hapa, naona mtangazaji katoa boko, anazungumzia mechi ya kesho ya Azam na Yanga, kaweka clip ya Razaki Siwa na kocha wa Dodoma[emoji3][emoji3][emoji23]
 
Wasichofahamu baadhi ya watu nikua kwenye Hivi vipindi vya michezo wengi ni wachambuzi tena wengine wanakopi wachambuzi wa kizungu kwenye michezo alafu na wao wanakopi, sasa kwakua Watanzania wengi awafuatilii wanawaona wanajua. Kitenge ni mchambuzi na mtangazaji alafu kitukizuri anawapa wachambuzi na wasikilizaji uhuru wa kuchangia yaani kipindi kinakua Cha umma sicha kituo Cha redio. Alafu zinajadiliwa hoja kwa hoja hakuna majungu na hoja zinazo jadiriwa wahusika wanapata nafasi ya kuzitolea ufafanuzi uo ndio weredi katika kazi.
Kukopi wachambuzi wa kizungu


Ambangile
 
Back
Top Bottom