Malalamiko fcMara waaamuzi, mara timu zinapanga matokeo, mara wapishi wanahujumu, mara meneja anahujumu, mara senzo anahujumu, mara tume ya ushindani Wana hujumu,mara wasafi arena wana hujumu. Bado Kama Mbumbumbu fc hamji tathimin mtaendelea kutupia malalamiko kwa kila mtu na haita wasaidia. Mnatakiwa mkubali kuwajibika kwa makosa yenu na si kusingizia wengine.
Hahahaha sio kumtawaza anko shamte?Basi sawa Kigoma Independent na Innocent dependent watafikisha huu ujumbe kwa Mama yake Diamond wakiwa wanamsafisha kucha za miguu.
Ulikuwa wapi kusema siku zote?Kitenge na Eddo Kumwembe hawana elimu ya uandishi wa habari ni wapiga mayowe tu. Ukipisha uje na cv zao
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Ile sheria ya kuwa na Diploma inawatesa sana hao viumbe.Ulikuwa wapi kusema siku zote?
Acha liwachome
Una uhakika hawana? Wamepata vipi kazi?Ile sheria ya kuwa na Diploma inawatesa sana hao viumbe.
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
100% hawana elimu ya uandishi wa habari na utangazaji sema wana vipaji vya kuiga utangazaji mmoja alikuwa anamuiga Aboubakary Liongo. Unajua hakuna tasnia ya kijinga nchi hii kama ya uandishi wa habari?Una uhakika hawana? Wamepata vipi kazi?
Mikia bwana siku zote hukusema haya ila ni baada ya kuguswa..100% hawana elimu ya uandishi wa habari na utangazaji sema wana vipaji vya kuiga utangazaji mmoja alikuwa anamuiga Aboubakary Liongo. Unajua hakuna tasnia ya kijinga nchi hii kama ya uandishi wa habari?
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Mdau upo sahihi sisi mashabiki tumekuwa na tabia ya Kuendesha mambo kwa mihemko tunapenda team zetu zisifiwe tu zikikosolewa tunaona nongwa.Kama ishu ni walichokisoma leo yale si maneno yao bali yametoka FCC....Viongozi wa Simba inabidi waje na hoja ya kueleweka maana sisi wote wasikilizaji tu na wale ni wajumbe tu..
Kuhusu kubalance story sijajua kwa upande wako unamaanisha nini au labda lugha inakusumbua....Mtu anasema "NASIKIA wachezaji wamepigana" (zingatia neno nasikia) kisha anampigie simu haji ili a balance kwa kujibu kama tetesi ni za kweli au la...Haji anawaka kutokana na kutokua Proffesional kama Afisa Habari.... wakati ni ishu ya kujibu tu si kweli...unawawakia wanahabari as if wao ndo wameanzisha hizo propaganda ambazo tunajua zinaanzishwa na Yanga.
Acheni watu wafanye Kazi yao ya kufikisha Habari kwa Uhuru iwe michezo siasa au chochote.
Kicho kipindi sikipendi kabisa Wala sikienjoy kabisa.SPORT HQ NDIO BABA LAO EFM.
Akina
Tunu Hassan.
Jemedary kazumari.
Ibrahim massod.
jeff Leah.
Oscar oscar nk.
PONGE LA KIPINDI CHA MICHEZO Tz.
pancho boy Me Binafsi Ni mshabiki wa Simba kabisa lakini sisi mashabiki tunatatizo la kutopenda team zetu kukosolewa tunapenda kusifiwa tu kama mkulu wale Wasafi media walikuwa wanaijadili statement iliyotolewa na FCC Kama moja ya habari ifike kipindi team na mashabiki zisione kukosolewa Ni dhambi mbona walivyo kuwa wanaikosoa uongozi wa musola na uendeshwaji wa Yanga kipindi kile Cha Yippe sambamba na kuponda usajili wa moringa pamoja yippe sisi mashabiki wa Simba tulifurahi inakuaje tukiguswa sisi tunachukia?Mikia bwana siku zote hukusema haya ila ni baada ya kuguswa..
Sawa
Vipindi vya Wasafi vingi ni vya kijinga tu...hawana good content na hata watangazaji wao ambao watu wengi wanawasifia ni kama vile wameokotwa tu kwani hawajuwi lolote. Toka Kitenge alipotoka EFM kwenda kuboresha kipindi cha michezo Wasafi, EFM wako imara zaidi....wana wachambuzi wazuri wanaojuwa kazi yako. Big up to dada Tunu na wenzake....mko juu sana. Maulidi Kitenge hana lolote, sijawahi kumkubali utangazaki wake, mbwembwe nyingi wakati hana lolole.Pasipo na shaka kipindi cha redio cha Sports Arena ya Wasafi FM, ni kipindi cha hovyo kabisa -- makelele mengi, hawa-balance story, na hicho kikundi kinacho jiita wachambuzi always ni kutaka kuivuruga Simba tu.
Bora wewe umekuwa mkweli..pancho boy Me Binafsi Ni mshabiki wa Simba kabisa lakini sisi mashabiki tunatatizo la kutopenda team zetu kukosolewa tunapenda kusifiwa tu kama mkulu wale Wasafi media walikuwa wanaijadili statement iliyotolewa na FCC Kama moja ya habari ifike kipindi team na mashabiki zisione kukosolewa Ni dhambi mbona walivyo kuwa wanaikosoa uongozi wa musola na uendeshwaji wa Yanga kipindi kile Cha Yippe sambamba na kuponda usajili wa moringa pamoja yippe sisi mashabiki wa Simba tulifurahi inakuaje tukiguswa sisi tunachukia?
Mbona yanga hawaigusiBora wewe umekuwa mkweli ..
Jamaa kazi yao ni kuhabarisha tu lakini wajinga wanakasirika hawataki kuguswa.
Bravo
Wawe wanakosoa na yanga sio kukosoa mnyama wa kimataifaMdau upo sahihi sisi mashabiki tumekuwa na tabia ya Kuendesha mambo kwa mihemko tunapenda team zetu zisifiwe tu zikikosolewa tunaona nongwa.
Hujui unacho kiongea, Hakuna mmililiki wa kituo Cha redio ambaye hataki kua na mtangazaji wa kaliba ya kitenge. Kinacho washinda ni maslahi tu. Kitenge Yuko vizuri sana katika soka, hamasa na banding kitenge ana ku offer vituvingi katika habari. Jinalake na ushawishi wake ni mkubwa.EFM wapo vizuri sana. Kitenge sijui huwa anatangaza nn. Halafu anaonyesha hana exposure kubwa ya masuala ya michezo. Anachotembelea ni ule umaarufu aliotoka nao ITV/Radio One, but generally he's really not as competent as he's being promoted.
Haingii hata robo kwa Jeff Lea huyo kimeoHujui unacho kiongea, Hakuna mmililiki wa kituo Cha redio ambaye hataki kua na mtangazaji wa kaliba ya kitenge. Kinacho washinda ni maslahi tu. Kitenge Yuko vizuri sana katika soka, hamasa na banding kitenge ana ku offer vituvingi katika habari. Jinalake na ushawishi wake ni mkubwa.