Sports Arena, Sports Headquarters na Sports Extra

Apo ni geof lea(clouds fm) vs George ambangile(wasafi fm) vs ibrahim masoud maestro(E fm) sema Napenda uchambuzi wao wote
 
Nikikosa Sports Extra Clouds, ntajiskia vibaya. Ila hizo redio nyingine zinaendekeza fitna na majungu. Wamewekeza kwenye vurugu kama ndio mtaji wao wa kuongeza wasikilizaji. Wanachofanya ni kuhamisha tu habari za majungu. Mwezi huu yanga ujao Simba. Yaan wanashindana kutafuta vitu visivyo na afya wala suluhu, ili mradi waongee, waibue taharuki hadi watu wavurugane. Na kuwachagulia wachezaji timu za kwenda, halafu wakibuma, wanakua wakwanza kulaumu eti "Simba na yanga zinaua vipaji vya wachezaji. Hovyo sana. Mabangile, Masoud, na wa clouds wako sawa Edo porojo mzinguaji na anafanya kusudi ili kuendana na gari analosafiria ili mpunga usome.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…