Nani atavumilia matusi ya Haji wakicheza na Everton?Sasa kwa nn kocha kamtoa chama eti anamuingiza kichuya? Mwenyewe yanga ila ili kombe ilitakiwa libaki tanzania au nyie simba amtaki kucheza na evarton?
Bado hujaniprove kuwa wrong, tukutane hapa baada ya mechi na El Ahly. Sitegemei Simba kufanya vizuri kwenye mechi na El Ahly ikiwa imefanya vibaya na Bandari ya MombasaHow it works then? Ninyi ndy mashabiki msiokuwa na patience na passion na team, mnaipenda team tu pale inapokua na matokeo mazuri na kuimwagia sifa kedekede, ikiteleza lawama kibao etc, mpira ni mchezo wa wazi, na mchezo wa makosa, ukikosea mpinzani wako anakuadhibu regardless ni team ya aina gani unacheza nayo....na Bandari proved all this! Period!
Simba inaweza fungwa na al Ahaly, sijakataa kwani ni kawaida pia kwa mpira wa miguu, lkn itakapokuja na matokeo tofauti na unayotarajia pia usitengeneze sababu...., kabla ya kuzitoa team za Nkana na Mbabane swallows, na 1leg kuifunga JS soura, Simba ilifingwa na mbao na kutoa droo na ndanda..hii nayo unalizungumziaje?. Braza mpira huchezwa ndani ya dakika 90 na ndani ya uwanja, masuala ya utabiri tuwachie wenyewe wanajimu!Bado hujaniprove kuwa wrong, tukutane hapa baada ya mechi na El Ahly. Sitegemei Simba kufanya vizuri kwenye mechi na El Ahly ikiwa imefanya vibaya na Bandari ya Mombasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wakijitoa inakuwaje Wakuu.Simba kwa mpira huu lazima wanaendea goli 8.
Twende msibani kwa Shunie!Mapinduzi cup kikosi cha Pili kilipigwa
Kinshasa kikosi cha kwanza kilipigwa 5
Leo kikosi mixer ,kimepigwa tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Bi Shunie muda wa saa nane alikuwa na magonjwa hapo Temeke hospital ya Wachina. Baada ya saa moja na nusu mgonjwa kafariki akiwa na drip mbili!
Hahahaha, asee nipitie twende tukampe pole ,alimpenda sana marehemu ila Bandari walimpenda zaidiBi Shunie muda wa saa nane alikuwa na magonjwa hapo Temeke hospital ya Wachina. Baada ya saa moja na nusu mgonjwa kafariki akiwa na drip mbili!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia anajidunga heinken msibani sasa hivi. Twende, nipitie hapa Mtaa wa TwigaHahahaha, asee nipitie twende tukampe pole ,alimpenda sana marehemu ila Bandari walimpenda zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Jitahidi hivyo hivyo Mkuu. Ndiyo mpira huo.
Kuna matumaini hapo au fungu lingine la kukosa?
Penalty wote wamepata 4Kuna matumaini hapo au fungu lingine la kukosa?
Timu za Tanzania bhana...........