SportsPesa Cup: Bandari 2 vs 1 Simba

Nakuambia hivi what goes around comes.around, kwa kocha huyu na kiwango hiki tunachokionesha na timu kama Mashujaa, Mbao, Ndanda na Leo Bandari sitegemei maajabu, tukutane baada ya mechi na El Ahly

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ndiyo ukweli mchungu. Ilikuwa kwa Manji. Sasa ni zamu ya Mo kupigwa hela.
Mo dewji ataishia kupigwa hela na Hawa wajanja wa mjini na uwekezaji wake ukawa na output zero

Sent using Jamii Forums mobile app
Kilio changu siku zote ni aina ya wachezaji tunawasajiri au kuwanunua,wengi uwezo mdg au umri umeenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…