Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Cha kusikitisha badala ya kuimarika anazidi kuwa kituko siku zinavyoenda.Nashindwa kuelewa simba aliyecheza na nkana mechi zote mbili akacheza na soura akacheza na kmc sio huyu nae muona sasa anatakiwa afanye mabadiliko makubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app