SportsPesa Cup: Yanga 2 - 3 Kariobang Shark

SportsPesa Cup: Yanga 2 - 3 Kariobang Shark

Jitahid uwe na uandidhi mzuri. Tanzania sio tanzania.
FT: singida 0 vs 1 bandari
FT: yanga 2 vs 3 kariobangi

timu mbili za tanzania tayari zimeaga mashindano haya ya sportpesa.

mechi za kesho.
mbao vs gormaia
simba vs fc leopard

nini maoni yako kuhusu mechi hizi za leo na timu hizi za tanzania kufungwa.. unadhani ni nini tatizo mpaka timu hizi za tanzania kufungwa?
na tutegemee nini kwa wawakilishi wengine wa tanzania hapo kesho.??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kariobange Shark..
cannabis-.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom