Spot the difference between Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ and the rest of Africa 🌍 including Kenya πŸ‡°πŸ‡ͺ

Ahaaa haaa haaa
Hivi Uhuru anajitambua KWELI!!? MChina ajenge SGR kwa msaada!!!?
Wakati ile project ina both economic and financial internal rate of return.

Teh teh teh tihiii
Ndicho wakenya walichomtuma KUONGEA.
πŸ™‚πŸ˜€πŸ˜€
 

Duuuh man umeamuwa kututukana ivi πŸ€¦πŸΎβ€β™‚οΈπŸ€¦πŸΎβ€β™‚οΈ
 
wa

wachina hawapendi kukaa upande wa bendera yao inapokuja suwala la kusaini mikataba na nchi za Africa
He was nobody, and we're not sure if he voted, hata kama angepinga, asingeweza zuia chochote.
 
Yani mtu mzima afike hapo aanze kuchora chora nyumba, una wazimu wewe
 
Mbona una hasira sasa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]

 
Magufuli is genius.
 
Yetu haina madini yanayoporwa usiku na mchana kama hiyo yako...ukishughulika na yako hutawahi kuja hapa Kenyan Forum kwani utakuwa umepata majibu ya wanayowasumbua kama Watanzania.
Yenu ipi ? Wazungu awawezi kujiibia wenyewe Kenya siyo yenu inawenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…