pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
sasa kama kiswahili ni "chenyu" mbona your accent sounds very ugly as if you are foreigners from far east?. why is your kiswahili not sweet. [emoji23][emoji23]mulisaaa kiswahili ni lugha ya taifa, ndio. Ila sio lugha yako. Huwa naona unavokitia najis humu kila uchao hadi najiuliza maswali mengi. Eti 'arianza kuriaria huku akitumia mlija kunywa uji kama mtu ariye rahaniwa. [emoji1]
Kiufupi Kiswahili ni lugha ya Africa. English itabaki kuwa ya mkoloni. Tukuzeni Kingereza mchina anawachora πππ Tanzania katoa grant Kenya amewakatalia πππ think twiceπππmulisaaa kiswahili ni lugha ya taifa, ndio. Ila sio lugha yako. Huwa naona unavokitia najis humu kila uchao hadi najiuliza maswali mengi. Eti 'arianza kuriaria huku akitumia mlija kunywa uji kama mtu ariye rahaniwa. [emoji1]
Kenya hawajui Kiswahili.πππ Kingereza pia chakuunga. Sijui tuwaweke kundi ganisasa kama kiswahili ni "chenyu" mbona your accent sounds very ugly as if you are foreigners from far east?. why is your kiswahili not sweet. [emoji23][emoji23]
exclude my my brother and sisters from mombasa.
new updates from the official twitter handle of tanzania embassy offices in china
mtajua hamjui...wasee wa 30 kilometers.
View attachment 859110View attachment 859111
Kumbe mnajua swahili ni international language from AfricaπππSomali students learning swahili using Kenyan books
American students singing Kenyaβs beautiful national anthem in Swahili- all 3 stanzas
Google translator , Facebook, Android,windows 10... all the Swahili translation done by Kenyans!!!
Kachambe kwanza πππHizo billions ni zile pesa madafu zenu au ni currency IPI.
Sio kupenda kwetu, kule kwetu chato inakuwaga ni full kisukuma 24/7! πsasa kama kiswahili ni "chenyu" mbona your accent sounds very ugly as if you are foreigners from far east?. why is your kiswahili not sweet. [emoji23][emoji23]
exclude my my brother and sisters from mombasa.
swali lako tayari nimelifafanua kiufundi hapa chini wakati namuelimisha mwasiti.Hizo billions ni zile pesa madafu zenu au ni currency IPI.
i'm not a good mathematician, but i will try my best to show you what tsh90 billion will do for kenya.Pesa kidogo sana can you convert thta to Kshs uone vile wewe ni mjinga.
[emoji23][emoji23][emoji23]Sio kupenda kwetu, kule kwetu chato inakuwaga ni full kisukuma 24/7! π
......na ndio.maana anajua !Alikuwa kwa hiyo hiyo Serikali.
swali lako tayari nimelifafanua kiufundi hapa chini wakati namuelimisha mwasiti.
jumuikanaye katika kujipatia elimu.
i'm not a good mathematician, but i will try my best to show you what tsh90 billion will do for kenya.
mwishoni tutajua kati ya wewe na mimi nani mjinga. twenda hatua kwa hatua.
if tsh 90,000,000,000 billion is converted to kenyan shilling equals to ksh 3,960,240,322.50.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 859188
kenya is very corrupt but if corruption is not involved it can cost not less than ksh 20,000,000 per kilometer to build a standard tarmac road in kenya.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 859189
therefore if ksh 3,960,240,322 is divided by ksh 20,000,000 equals to 198.0120161
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 859190
Conclusion:
tsh 90,000,000,000 billion can build 198 kilometers of tarmac road in any county in kenya.
mpaka hapo nadhani tayari umeshajijua kuwa wewe ni kilaza. nauliza hivi kwenye vyuo vyenu huwa mnasomea ujinga?.
nasubiri povu..ruksa kutoa povu. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Dude, 90 Billion tzs ni only $40 Million(if you rounded off to the next million).... Hio30 km highway intacost almost $600m ....new updates from the official twitter handle of tanzania embassy offices in china
mtajua hamjui...wasee wa 30 kilometers.
View attachment 859110View attachment 859111
but zinaweza kujenga kilomita 198 za barabara za lami huko kenya mashinani kwenye counties.Bilioni tatu za Kenya, yaani mahangaiko yote hayo mlifuata 3b Kshs, hehehe tell me you're joking.
tayari nilisha fafanua hapa chini wakati namuekimisha mwasiti.Dude, 90 Billion tzs ni only $40 Million(if you rounded off to the next million).... Hio30 km highway intacost almost $600m ....
Tena dili za barabara nyengine za km zaidi ya 150 zimetiwa saini under PPP
North Eastern gets 140km roads under annuity programme Β» Capital News
Pesa kidogo sana can you convert thta to Kshs uone vile wewe ni mjinga.
Acha kutoa argument za kitoto wewe, tulitofautiana pale Kenya mlipopata uhuru wenu miaka miwili baada ya Tanzania kupata Uhuru na kuikuta tayari Tanzania inafuata misingi ya Ujamaa na ninyi mkaamua kufuata uchumi wa Kibepari. Mlipoanza kuwaua akina Tom Mboya na wanasiasa wengine, Nyerere akaona hawa sio binadamu wa kushirikiana nao, alipopinduliwa Obote ndio pakawa hakuna mtu ambaye anaweza kuwa level moja na Nyerere.Soma historia utajua. Mgogoro wote ulosababisha muungano wa kwanza wa nchi za Afrika mashariki kuporomoka ulianza na Tusker. Wasafiri walikuwa wana'request' wawe served na bia maarufu ya kikenya, Tusker. East African Airways walipoamua ku'stock' Tusker watanzania hawakupendezwa. Baada ya hapo kila mti kwenye msitu ukawa unateleza.
Kichekesho cha mwaka hiki, eti Tanzania inashida zaidi ya Kenya [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mimi sijakufukuza, ninakukumbusha kuwa mashida yanayowakumba ni mengi zaidi ya Wakenya na jinsi ya kuyatatua ni kwa njia ya kuzingatia ya kwako zaidi.
It is fool, we are proud of it, see actions. Unlike you sellout.Swahili is not synonymous with Tz you fool.
It's a grantππππNo loanππππBilioni tatu za Kenya, yaani mahangaiko yote hayo mlifuata 3b Kshs, hehehe tell me you're joking.
Unatumia nguvu nyingi sana kutupia pumba. Hata hujui mwaka ambao Tom Mboya aliuawa na kwamba muungano wa awali kabisa wa nchi za Afrika mashariki, ulikuwa baina ya Kenya na Uganda, mwaka wa 1917 na Tanganyika ikaingia miaka kumi baadaye, 1927. Yaani yote yalikuwa chini ya mipango ya mkoloni.Acha kutoa argument za kitoto wewe, tulitofautiana pale Kenya mlipopata uhuru wenu miaka miwili baada ya Tanzania kupata Uhuru na kuikuta tayari Tanzania inafuata misingi ya Ujamaa na ninyi mkaamua kufuata uchumi wa Kibepari. Mlipoanza kuwaua akina Tom Mboya na wanasiasa wengine, Nyerere akaona hawa sio binadamu wa kushirikiana nao, alipopinduliwa Obote ndio pakawa hakuna mtu ambaye anaweza kuwa level moja na Nyerere.