pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
- Thread starter
- #41
Ndio.Alikuwa anatoka Bar?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio.Alikuwa anatoka Bar?
Dah! Poa sana kuwa na rais mlevi.Ndio.
...na rais mshamba je? Hapo huwa inakuwaje?Dah! Poa sana kuwa na rais mlevi.
Hiyo paranoia ndio chanzo cha kila kitu. Kidogo kidogo utasikia watu wanatupwa korokoroni kwa mambo madogo kama kutokubaliana kisiasa.Magufuli ana paranoia...
Anajifanya ana maadui wengi kwa kile anachoita kua ana pambana na majizi na mafisadi.
Niwe mkweli tu hata kama anaonekana yupo heavily guarded bado hiyo security ni ya ovyo.
Poa tu. Mbona wenu ni mshamba sana....na rais mshamba je? Hapo huwa inakuwaje?
Kobello kama umeona picha hii ukafikiria tu mambo ya bar nakushauri uwe unabugia maziwa. Hizo hangover za asubuhi asubuhi zitakumaliza. [emoji1]
hiyo ni dalili ya kutopendwa... kumbe hujui....rais mwenye umuhimu kwenye taifa lazima alindwe kwa ulinzi mkali, sio hao mnaopiga nao selfie huku fedha za umma zinagawanwa na marafiki zake.
JPM ni rais bora na lazima alindwe ipasavyo.
Poa tu. Mbona wenu ni mshamba sana.
Ajifunze kutumia eye drops.
Tayari watu wanapigwa mpaka risasi...Hiyo paranoia ndio chanzo cha kila kitu. Kidogo kidogo utasikia watu wanatupwa korokoroni kwa mambo madogo kama kutokubaliana kisiasa.
Ngoja waje uone utakavotupiwa mitusi ya aina zote.Tayari watu wanapigwa mpaka risasi...
TZ ni hatari kuishi kwa sasa ukiwa hukubaliani na huyu jamaa.
Wewe hamna kitu unajua kuhusu Tz wala Magufuli, kaa pembeni chanja mirungi. This is next level buda boss.Ngoja uchaguzi utakapowadia utaona atakavobadilika. Unachokiona sasa hivi kwa kimombo wanasema ni signs of changing times. Kuna mtu kalewa chakari kwasababu ya madaraka.
Next level kuenda chini.Wewe hamna kitu unajua kuhusu Tz wala Magufuli, kaa pembeni chanja mirungi. This is next level buda boss.
Magufuli hajawahi kubadilika katika uongozi wake Tangu akiwa waziri, ni mkali vilevile na anafuata sheria haijalishi uchaguzi wala siku za kawaida.Ngoja uchaguzi utakapowadia utaona atakavobadilika. Unachokiona sasa hivi kwa kimombo wanasema ni signs of changing times. Kuna mtu kalewa chakari kwasababu ya madaraka.
Ngoja waje uone utakavotupiwa mitusi ya aina zote.
Siyo picha yakujivuniaMy prezidaaaaa...masela tunapiga naye selfie kitaa tu na kujirushaa[emoji123] [emoji28] [emoji106] View attachment 866773
Umesema wewe. Mi sipo, teh teh! [emoji23]Mkuu sina shaka natambua fika hawa na mwenyekiti wao ni VICHAA.
Swali langu, we .me ama .ke?Siyo picha yakujivunia
Una mudh...sha
Du domo kama ....
Hahahaha
Umesahau juzi juzi tu alivokuwa akipiga push-up mbele ya umati? [emoji1] Sasa hivi pumzi ndio zimemuishia au kunaendaje?Magufuli hajawahi kubadilika katika uongozi wake Tangu akiwa waziri, ni mkali vilevile na anafuata sheria haijalishi uchaguzi wala siku za kawaida.