Ma IT, wabongo bila pirates mambo hayaendiKama unatumia Android, download Spotify Premium Mod APK. Hapo utapata Premium features zote bila kulipia.
Hahah! Piracy kwenye 3rd World Country ni kitu cha kawaida kabisa. $6 huko kwa wenzetu na kwa wachache hapa bongo wanaweza kumudu kulipia kwa ajili ya muziki tu.Ma IT, wabongo bila pirates mambo hayaendi
Ni Kweli tuwashukuru wanaotengeza cracks software, la sivyo Africa tungekomaHahah! Piracy kwenye 3rd World Country ni kitu cha kawaida kabisa. $6 huko kwa wenzetu na kwa wachache hapa bongo wanaweza kumudu kulipia kwa ajili ya muziki tu.
Binafsi naheshimu sana watu wanaolipia hizi huduma kwasababu ndiyo wanafanya Spotify inaendelea kufanya kazi na wasanii kupata stahiki zao.
Spotify imekuwa mwiba kwa wasanii siku hizi yaani hamna maokoto ni ubepari tu mwenye nacho ndio anapewa kama hauna hata ulichodhani cha kwako kinachukuliwaHahah! Piracy kwenye 3rd World Country ni kitu cha kawaida kabisa. $6 huko kwa wenzetu na kwa wachache hapa bongo wanaweza kumudu kulipia kwa ajili ya muziki tu.
Binafsi naheshimu sana watu wanaolipia hizi huduma kwasababu ndiyo wanafanya Spotify inaendelea kufanya kazi na wasanii kupata stahiki zao.
[emoji2]Spotify imekuwa mwiba kwa wasanii siku hizi yaani hamna maokoto ni ubepari tu mwenye nacho ndio anapewa kama hauna hata ulichodhani cha kwako kinachukuliwa
[emoji]
Oya share link man maana internet ni bahari.Kama unatumia Android, download Spotify Premium Mod APK. Hapo utapata Premium features zote bila kulipia.
Mimi natumia Spotify Lite Premium.
View attachment 2820103
Mkuu naomba msaaada wa hiyo APKKama unatumia Android, download Spotify Premium Mod APK. Hapo utapata Premium features zote bila kulipia.
Mimi natumia Spotify Lite Premium.
View attachment 2820103
Mkuu naomba msaaada wa hiyo APK
Oya share link man maana internet ni bahari.
ishi na watu vizuri broh... watu wameshafanya hilo🤭🤣🤭🤣🤭Ni Kweli tuwashukuru wanaotengeza cracks software, la sivyo Africa tungekoma
Image ulipie Adobe, Microsoft, acrobat, Maya etc mwaka mzima 😂 sizani kama tungetoboa,
Kilichobaki Ku crack ni DStv, Azam
Ngoja nijaribu kuulizia, kuna kipindi wachina , walikuwa na kifaa flani ivi unabypass DStv , Lakin baadae Dili likaota nyasiishi na watu vizuri broh... watu wameshafanya hilo🤭🤣🤭🤣🤭
achana na wachina kenya tu hapo mambo yapo yanataradadi🤣🤣🤣🤣Ngoja nijaribu kuulizia, kuna kipindi wachina , walikuwa na kifaa flani ivi unabypass DStv , Lakin baadae Dili likaota nyasi