Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa kuna mdogo wangu yupo ilala bungoni anapiga rangi balaa.Ukitaka rangi ya mchina anakupigia na ukitaka rangi ya mkenya anakupigia ila ya mkenya bei imesimama ila gari ikitoka utadhani imetoka nayo japani.Chang'ombe but if una issue ya kupiga rangi na kunyoosha mbna now watu wengi dar wanafanya na kwa ubora zaidi kuliko hata mchina mwywe na kwa gharama inayoeleweka
Watu wengi wasichojua wale jamaa vitu vingi huwa wanafanya replacement na ndo mana bei yao imesimama.Okay mkuu. Natumai gari ilitoka makini sana. Watu wanasema kuwa wachina wananyoosha gari inarejea hali yake kama imetoka Japan leo.
Watu wengi wasichojua wale jamaa vitu vingi huwa wanafanya replacement na ndo mana bei yao imesimama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yah kama gar imeumia sana bora upeleke hukoNdiyo inasemekana hivyo mkuu. Lakini ni vyema coz kitu kinatoka kimenyooka haswa!
Swala la kuiba kwanza n utaratibu wa garage husika ktk makabidhiano kati yako na wao pindi unaacha gari lako kwao kama waaacha kwa maneno tu na kusepa jiandae kulia hata uko kwa mchina maana wafanyakaz wa kawaida n watanzaniaMkuu, tatizo la garage za wabongo uaminifu zero. Wanaiba spea og wanakufungia kanyaboya. Pia na ubora wa kazi ni hafifu watu wanasema.
Swala la kuiba kwanza n utaratibu wa garage husika ktk makabidhiano kati yako na wao pindi unaacha gari lako kwao kama waaacha kwa maneno tu na kusepa jiandae kulia hata uko kwa mchina maana wafanyakaz wa kawaida n watanzania
Garage kubwa zote ndo wanachofanya. Hata dealership.Watu wengi wasichojua wale jamaa vitu vingi huwa wanafanya replacement na ndo mana bei yao imesimama.
Sent using Jamii Forums mobile app
asanteMi ninaowajua wapo njia kama unatokea njia panda majumba sita kuja kinyerezi/segerea hapo katikati kunaitwa kwa mchina
Unaopeleka gari yako ikiwa full tank ila siku ya kwenda kuichukua taa ya mafuta inawaka.Mkuu, tatizo la garage za wabongo uaminifu zero. Wanaiba spea og wanakufungia kanyaboya. Pia na ubora wa kazi ni hafifu watu wanasema.
Wapo vizuri, kwa mwanza wapo Buzuruga mataa barabara ya kulia kama umetokea mjini baada ya sheli ya GBP ila jina hawatumii tena Spring city sasa hivi wanajiita Senrun Garage.
Mpigie mkalimani wao 0768 461 551