Spy App

vijana wa kizazi hiki mna kazi sana!
mwanaume haogopi vita acheni kuwadukua wanawake zenu kwa lugha nyingine ya kweli ni tabia ya kike!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We jamaa umeleta mrejesho wa kichaa sana
 
Wewe jamaa bhana yaani huyo mwanamke hajui rangi zako halafu wewe unakazania kujua rangi zake, hakika wewe huna mda mrefu wa kuishi hapa duniani kwenye ndoa utakufa kwa presure...
 
vijana wa kizazi hiki mna kazi sana!
mwanaume haogopi vita acheni kuwadukua wanawake zenu kwa lugha nyingine ya kweli ni tabia ya kike!
Kila mtu aishi maisha yake, hatuwezi kuwa sawa, simamia unachokiamini, unaona sio sawa kudukua ya kwake, ni sawa na naheshimu maamuzi yako.
 
Wewe jamaa bhana yaani huyo mwanamke hajui rangi zako halafu wewe unakazania kujua rangi zake, hakika wewe huna mda mrefu wa kuishi hapa duniani kwenye ndoa utakufa kwa presure...
Niko mzima kama chuma, niko na amani ya moyo..
 
Samaki ukimchunguza sana huwezi kumla...

Kama hujashuhudia mabaya yake usijiumize kichwa na roho...



Cc: mahondaw
 
Naomba kuliza hiyo app unaiweka kwenye simu ya mhusika tu kwenye simu yako huweki?
 
Na jinsi ya kuzuia kama umeshajilidhisha inakuwaje
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…