Spy App

Spy App

vijana wa kizazi hiki mna kazi sana!
mwanaume haogopi vita acheni kuwadukua wanawake zenu kwa lugha nyingine ya kweli ni tabia ya kike!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We jamaa umeleta mrejesho wa kichaa sana
 
Wewe jamaa bhana yaani huyo mwanamke hajui rangi zako halafu wewe unakazania kujua rangi zake, hakika wewe huna mda mrefu wa kuishi hapa duniani kwenye ndoa utakufa kwa presure...
 
vijana wa kizazi hiki mna kazi sana!
mwanaume haogopi vita acheni kuwadukua wanawake zenu kwa lugha nyingine ya kweli ni tabia ya kike!
Kila mtu aishi maisha yake, hatuwezi kuwa sawa, simamia unachokiamini, unaona sio sawa kudukua ya kwake, ni sawa na naheshimu maamuzi yako.
 
Wewe jamaa bhana yaani huyo mwanamke hajui rangi zako halafu wewe unakazania kujua rangi zake, hakika wewe huna mda mrefu wa kuishi hapa duniani kwenye ndoa utakufa kwa presure...
Niko mzima kama chuma, niko na amani ya moyo..
 
Maka email address uanayo weka ni ya KWAKO wewe usi tumie yake

Ukiwa umesha i set ww una enda sasa kweny website ya mobile tracker log in credentials username uta tumia iyo email address yako ambayo uli register kweny ile spy app ya bibie kisha una log in na kuanza kupata izo details unazo zihitaj
Calls
Sms
Location
Messenger
Etc.....
Naomba kuliza hiyo app unaiweka kwenye simu ya mhusika tu kwenye simu yako huweki?
 
Maka email address uanayo weka ni ya KWAKO wewe usi tumie yake

Ukiwa umesha i set ww una enda sasa kweny website ya mobile tracker log in credentials username uta tumia iyo email address yako ambayo uli register kweny ile spy app ya bibie kisha una log in na kuanza kupata izo details unazo zihitaj
Calls
Sms
Location
Messenger
Etc.....
Na jinsi ya kuzuia kama umeshajilidhisha inakuwaje
 
Yawezekana ukawa sahihi!! Mie hizo za siku 2 zilikuwa zinatosha sababu kuna jamaa yangu toka mtandao wa simu aliniahidi atanipa rekodi zake za mawasiliano ya hapo nyuma yoote!!

Hii app haikupi hayo, halafu app hii zikifika rekodi 15 nyingine zinajifuta, sasa nikaona kuna baadhi nazikosa, kwa mazingira tuliyopo kukaa kwake online ni kwa manati mnoo mpaka atoke sababu kampuni ya simu anayotumia inasummbua saana maskani, so calls nyingine zilikuwa zinafutika wakati hata sijafanikiwa kusikiliza, kisha kila baada ya siku 3 zinajifuta, so nilimchana nikiwa na
 
Back
Top Bottom