Spy App

Wacha nikipate tu mkuu, sababu nakitaka.

Mwanakuyatafuta mwanakuyapata
ndugu huyo ni mwanamke wako na una kila hali ya kumchunguza na kumuelewa ili mradi kama wwewe hufanyi maana mapenzi ni kitu kingine siku ukigundua unachapiwa kwa zaidi ya miaka mitatu itakuuma sana ni bora ujue mapema ili ujue cha kufanya
 
ndugu huyo ni mwanamke wako na una kila hali ya kumchunguza na kumuelewa ili mradi kama wwewe hufanyi maana mapenzi ni kitu kingine siku ukigundua unachapiwa kwa zaidi ya miaka mitatu itakuuma sana ni bora ujue mapema ili ujue cha kufanya
Na hii ndio sababu hasa ya kutaka kufanya hivi, nijue mapema kabla ya kuingia kwenye mzigo wa ndoa..

Mapenzi ni afya ya moyo, kuwa na mtu mwenye kumuamini 99% ni raha sana.
Nadhani wengine hawanielewi lile nilitakalo.
 
ni kosa kisheria mkuu
 
Na hii ndio sababu hasa ya kutaka kufanya hivi, nijue mapema kabla ya kuingia kwenye mzigo wa ndoa..

Mapenzi ni afya ya moyo, kuwa na mtu mwenye kumuamini 99% ni raha sana.
Nadhani wengine hawanielewi lile nilitakalo.
nigga uko very right mzee kwenye ndoa utakuwa peke yako na maumivu ya kuumizwa bila kujua ni unayapata peke yako so linda kilicho chako mzee...mapenzi ni uongo uliona uso wa ukweli usiamini mtu yoyote sis ni binadamu na siku hizi watu wanabadilika
 
Kama huna mpango wa kumuacha uyo mwanamke basi achana na huo mpango ila kama una mpango wa kuachana nae yan huna malengo nae basi fanya iko unacho taka kukifanya!!!....
 
hiyo email ni ya play store au maana hapa tatizo lipo hapo au brother unaweza kuchukua email ya mtu bila password

Niweke sawa hapo
Nihivi kuhusu e-mail hata yako unaweza ukaitumia.

Ingia kwenye browser ya muhusika na andika mobile tracker free. Utaidownload na utafuata maelezo kila hatua utayoelezwa inapofika hatua ya kuweka e-mail ikiwa yakwake unaijua unaiweka ikiwa huijui unaweka yakwako na password yoyote unayotaka yenye mchanganyiko mfano hk76.oir badaye utaistall hapohapo kw kufuata maelezo kwa kina.


Ukimaliza process Kuna code utapewa hizo zinatumika unapoihitaji hiyo app kutaka kuitumia labda settings. Ukimaliza tu app inakuwa imejificha na code ni ya kufichua. Zen unam pá sim yake


Sasa hapo unapotaka kujua yanayoendelea unaingia kwenye sim yako Ingia kwenye browser yako na uandike mobile tracker free na unalogin kwa e-mail uliyoisajilia kwenye simu ya muhusika hapo utaona uwanja WA mambo yenye calls,SMS, na mambo mengine.


Mimi nimejidukua fresh mpka Leo nakomaa.
 
thanks brother
 
Akuna app nyingine ambayo utaipakua bila kutumia simu ya mhusika kufuatilia hizo nyendo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…