Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,395
- 25,049
Boss vipi tenaEeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boss vipi tenaEeeee
ndugu huyo ni mwanamke wako na una kila hali ya kumchunguza na kumuelewa ili mradi kama wwewe hufanyi maana mapenzi ni kitu kingine siku ukigundua unachapiwa kwa zaidi ya miaka mitatu itakuuma sana ni bora ujue mapema ili ujue cha kufanyaWacha nikipate tu mkuu, sababu nakitaka.
Mwanakuyatafuta mwanakuyapata
Na hii ndio sababu hasa ya kutaka kufanya hivi, nijue mapema kabla ya kuingia kwenye mzigo wa ndoa..ndugu huyo ni mwanamke wako na una kila hali ya kumchunguza na kumuelewa ili mradi kama wwewe hufanyi maana mapenzi ni kitu kingine siku ukigundua unachapiwa kwa zaidi ya miaka mitatu itakuuma sana ni bora ujue mapema ili ujue cha kufanya
ni kosa kisheria mkuuWazee wenzangu, nahitaji application nzuri ya kumchunguza mtu, nisome meseji zake, WhatsApp na simu zake zinazoingia na kutoka..
Lengo la kutaka hii app:
Nina shemeji yenu tumekuwa kwenye mahusiank kwa takribani miezi 8, sasa anaitaka ndoa kwa hali na mali, mie nimekuwa nina"dribble" 50/50, sikuwa serious kivile japo toka nimekuwa nae nimeacha mipango mingine lakin haikuwa kihivyo, miezi km kadhaa hivi tumekuwa tukiishi pamoja kabisa, kimtizamo kwa juu juu katika maisha yetu naona kama kapoa, hana mambo mengi, ila siri ya mtu kichaka, kwakuwa mie nilikuwa sio real kivile nataka nizame kwanza nijue hasa ya ndani nikiona yuko OK nichukue jiko, kupenda kwangu si kazi kama nikiona mtu yuko safi.
Msaada wenu wazee wenzangu.
nigga uko very right mzee kwenye ndoa utakuwa peke yako na maumivu ya kuumizwa bila kujua ni unayapata peke yako so linda kilicho chako mzee...mapenzi ni uongo uliona uso wa ukweli usiamini mtu yoyote sis ni binadamu na siku hizi watu wanabadilikaNa hii ndio sababu hasa ya kutaka kufanya hivi, nijue mapema kabla ya kuingia kwenye mzigo wa ndoa..
Mapenzi ni afya ya moyo, kuwa na mtu mwenye kumuamini 99% ni raha sana.
Nadhani wengine hawanielewi lile nilitakalo.
Najua mzee mwenzangu, ila sina budi!ni kosa kisheria mkuu
poa mzee baba mwambie troublemaker namsalimiaNajua mzee mwenzangu, ila sina budi!
Inabidi nifanye hivyo niwe na uhakika na nikifanyacho.
Wewe ni mpuuzi kutoa hela
Na huyo shem wako ni fala kukuambia yote siri za rafikiyake
Jamaa anakuingiza choo cha kike wewe unasema ahsante?😊😊 Hatua ya pili usifanye kama alivyoeleza!!Shukrani za dhati kwako mkuu, mrejesho utakuja mjomba.
Nihivi kuhusu e-mail hata yako unaweza ukaitumia.hiyo email ni ya play store au maana hapa tatizo lipo hapo au brother unaweza kuchukua email ya mtu bila password
Niweke sawa hapo
thanks brotherNihivi kuhusu e-mail hata yako unaweza ukaitumia.
Ingia kwenye browser ya muhusika na andika mobile tracker free. Utaidownload na utafuata maelezo kila hatua utayoelezwa inapofika hatua ya kuweka e-mail ikiwa yakwake unaijua unaiweka ikiwa huijui unaweka yakwako na password yoyote unayotaka yenye mchanganyiko mfano hk76.oir badaye utaistall hapohapo kw kufuata maelezo kwa kina.
Ukimaliza process Kuna code utapewa hizo zinatumika unapoihitaji hiyo app kutaka kuitumia labda settings. Ukimaliza tu app inakuwa imejificha na code ni ya kufichua. Zen unam pá sim yake
Sasa hapo unapotaka kujua yanayoendelea unaingia kwenye sim yako Ingia kwenye browser yako na uandike mobile tracker free na unalogin kwa e-mail uliyoisajilia kwenye simu ya muhusika hapo utaona uwanja WA mambo yenye calls,SMS, na mambo mengine.
Mimi nimejidukua fresh mpka Leo nakomaa.
Ukitumia app unataka utabaki single forever!! Bado unataka nikupe link?
Kuumia ni matokeo ya kuidekeza nafsi.utaishia kuumia tu Mkuu hayo mambo ni mazito
Choo cha kike kivipi!?Jamaa anakuingiza choo cha kike wewe unasema ahsante?[emoji4][emoji4] Hatua ya pili usifanye kama alivyoeleza!!