Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3]We maka akee ukimaliza kudukua ukikaribia kufwa uniambie nije kukusaidia
Wangu apata nafuu leo wiki hii naauguza tu kwa kumtolea makavu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Mkuu sijui niseme anachepuka, sijui niseme yuko safi ni vitimbi tu humo ndani we acha tuu!! Hapa nipo nae hospital kapatwa na presha baada ya kumueleza tuachane una moja mbili 3, naombea tu asinifie mkononi, nimemkimbiza hospital..
Kama una moyo mwepesi kama baadhi ya watu wengine walivyoniambia nisiweke basi usije pm, ila kama una moyo mzito kama mimi basi we njoo pm, wanawake hawa we acha tu unaweza mdundika mtu bisu la roho[emoji23][emoji23][emoji23]
Pole mkuu..Wazee wenzangu, ndio nimechomoka hospital, kesho nikitulia nitawapa habari kamili, naomba mniwie radhi ndugu zanguni.
Kikubwa nashukuru mtoto wa watu mzima, japo bado bado kidogo, namsikilizia hali yake, hospital kule aligoma kabisa kwenda kwao na kaniomba nisiwaambie ndugu zake, so nimvumilie mpaka akipata pesa yake ya kodi toka kwenye nyumba yake huko atahama.
Usiku mwema wazee wenzangu.
Aah!! Sijapoa mkuu.Pole mkuu..
Haya ndio yamenikuta mimi jamaa yangu!!Wangu apata nafuu leo wiki hii naauguza tu kwa kumtolea makavu.
Ubaya wake inahitaji mdukuliwaji awe na data mda wote ili upate taarifa na kama asipo taka kuweka data umemkosa.Hili ni bonge la app, mimi huwa nawachekaga tu rafiki zangu wanavyo jaribu kumtongoza mke wangu.
Pili imenisaidia kurudisha ktk familia viwanja vitatu alivyonunua mke wangu pasi na mimi kujua.
Aiseeee kama mimi nilikuta anataka kutoa siri zetu za chumbani nikakuta ananipondea mimi na familis yangu kwa ndugu zake kwamba mshamba sijui lolote n.kmimi niliona vijitabia kwa manzii wangu nikaamua kumuuliza kulikoni akawa mkali kuwa namsingizia nikaona isiwe inshu, nikaanza process za kumdukua FB, baada ya siku chache nikamwambia makosa yake yote [emoji16][emoji16] alianza kuomba msamaha nikaone kosa lenyewe ni simple sio la uchepukaji nikamsamehe, sasa hivi ana tia adabu ni balaa.
kila baada ya wiki lazima nichungulie kwenye viji-akaunti vyake vya social net naona mambo yako poa, sasa hapa nina mpango wa kutumia hii app ya MTF coz mwanzo nilitumia mbinu zangu vya kudukua nilizojifunza nikiwa nasoma IT.
sometimes inatakiwa tuchunguzane ili tujuane vizuri unaweza kuishi na mtu ukajua ni mwenza wako kumbe ni watu wasiojulikana.Aiseeee kama mimi nilikuta anataka kutoa siri zetu za chumbani nikakuta ananipondea mimi na familis yangu kwa ndugu zake kwamba mshamba sijui lolote n.k
Nikamchana nikamwambia huo uouuzi wako endelea nao tu,ametia adabu sasa.
mkuu time linaenda tupe mrejesho.Haya ndio yamenikuta mimi jamaa yangu!!
Naona Anagoja Wadhamini Wapige Tangazo Lakemkuu time linaenda tupe mrejesho.
Sawa Sawasometimes inatakiwa tuchunguzane ili tujuane vizuri unaweza kuishi na mtu ukajua ni mwenza wako kumbe ni watu wasiojulikana.
mkuu pole sana.....najua una mazito ila huo ndio uanaume sasa..ila mwenzio sasa kifua kidogo umeona mpaka hospital mmefika mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Mkuu sijui niseme anachepuka, sijui niseme yuko safi ni vitimbi tu humo ndani we acha tuu!! Hapa nipo nae hospital kapatwa na presha baada ya kumueleza tuachane una moja mbili 3, naombea tu asinifie mkononi, nimemkimbiza hospital..
Kama una moyo mwepesi kama baadhi ya watu wengine walivyoniambia nisiweke basi usije pm, ila kama una moyo mzito kama mimi basi we njoo pm, wanawake hawa we acha tu unaweza mdundika mtu bisu la roho[emoji23][emoji23][emoji23]
lakini utazikuta tu.Ubaya wake inahitaji mdukuliwaji awe na data mda wote ili upate taarifa na kama asipo taka kuweka data umemkosa.