makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
- Thread starter
-
- #161
Sawa mkuu!!! Shukrani.Huyu hana kosa cha kufanya mpe onyo then ukae miezi 3-6 bila kuchungulia kwenye a/c ya MTF ili ajisahau baada ya muda huo unaweza kuchungulia kama bado anaendeleza mambo yake ya ajabu
Mkuu una moyo dhaifu sana. Yani message au simu 2 mbili tu umeenda kumuuliza ni dhahiri uwezi pata ulichokusudia. Ilibidi ukusanye ushahidi wa kutosha na hapo ujue kakupanga tu. Tangu nimeanza kuwa mdukuaji siamini tena maneno ya mwanamke.Wazee wenzangu nimejitahidi kuandika kwa ufupi kwenye namna gani tutaulizana.
Yawezekana ukawa sahihi!! Mie hizo za siku 2 zilikuwa zinatosha sababu kuna jamaa yangu toka mtandao wa simu aliniahidi atanipa rekodi zake za mawasiliano ya hapo nyuma yoote!!Mkuu una moyo dhaifu sana. Yani message au simu 2 mbili tu umeenda kumuuliza ni dhahiri uwezi pata ulichokusudia. Ilibidi ukusanye ushahidi wa kutosha na hapo ujue kakupanga tu. Tangu nimeanza kuwa mdukuaji siamini tena maneno ya mwanamke.
Ukitaka ku un install hiyo app baada ya kuwa umesha mspy vya kutosha,unaenda wapi mkuu??Mkuu tumia *mobile tracker free* download google au click hapa .. https://mobile-tracker-free.com/login/?app=11 Baada ya kudownload install application hiyo kwa simu ya mhusika unayetaka upate sms zake za whatssap,sms,location ,calls ,n.k ni chaguo lako , hakikisha unainstall kwa simu ya mhusika unayetaka kufuatilia mawasiliano yake .
2. Nenda kwenye playstore kwa upande wa juu kushoto bonyeza hapo utaona email aliyosajilia basi ichukue na kuiweka pembeni,
Ukimaliza ifungue (mobile tracker free) tumia email hiyo na weka password ujuayo na jisajili .
Ukimaliza mpe simu yake ww tumia website ya mobile tracker kuingia na login kutumia email yake ..
Mkuu,,ukitaka ku unstall hii app unaenda wapi?
Mie sijaitoa!! Ila ukishahifadhi hii app inajificha kwa jina la wi-fi, so nenda kwenye apps utaiona kisha uninstall.Ukitaka ku un install hiyo app baada ya kuwa umesha mspy vya kutosha,unaenda wapi mkuu??
Maana baada ya ku install ile app kwenye simu yake inapotea,inakuwa imefichwa
Nimetafuta kwenye app nmeikosa,ngoja nijarbu tena..hii apo inasoma hadi status ya bettry status aiseeMie sijaitoa!! Ila ukishahifadhi hii app inajificha kwa jina la wi-fi, so nenda kwenye apps utaiona kisha uninstall.
KabisaHizo ni ndoto mkuu
Kama una hakika wewe binafsi unaweza bila ku cheat basi wapo wanaoweza
Ila kama huwezi basi ujue hawezi pia
Kugongewa utagongewa tu hata ufanye nini
Ukiona anazingua mteme na sio kumfuatilia sana sana utakua mtumwa wa mapenzi
Kikubwa huwa ni heshima
Dah...hata mke ni lazima upate taarifa zake zote..kama mume...kwa siri...ujue marafiki zake...mipango yake..yaani kila kitu...ili uweze kudhibiti bila ya kuwa na madhara makubwa..nasisitiza kwa SIRI...ili usije kushangazwa kwa ghafla.... ukafa ....Mkuu ukimchunguza saana bata mawili aidha usimle ama ukamla kwa uhakika na kujinafasi zaidi..
Usiogooe kuchunguza, sio mke wangu, ndio maana nimeanza kabisa angekuwa mke hapo sawa, tunataka kuingia huko ndio maama, kama ana mambo ya kiduwanzi nipige chini kabisa, kama safi na iwe safi.
Kabisa!! Tena kuna umuhimu mkubwa mnoo, japo kuna watu watapinga ila huo ndio ukweli wenyewe!Dah...hata mke ni lazima upate taarifa zake zote..kama mume...kwa siri...ujue marafiki zake...mipango yake..yaani kila kitu...ili uweze kudhibiti bila ya kuwa na madhara makubwa..nasisitiza kwa SIRI...ili usije kushangazwa kwa ghafla.... ukafa ....
Ni ujinga kwa mume kuishi na mke bila ya kuwa na taarifa za siri za mke[emoji2960]
Wacha nikueleweshe kwa kirefu zaidiMkuu japo sijafanya ila naamini anamaanidha hivi!!
Ile application inakuwa kwenye simu ya muathirika, email yake inakuwa ipo pale so inakusanya habari zote katika simu ile!!
We unapokuja kulog in huku taarifa zake zote unakuwa nazo wewe... kifupi hiyo app inakuwa inakusanya habari zooote inaweka kumbukizi, so email inakuwa inakupa uwezo wa kuingia katika ile account ikiyohifadhiwa hayo mambo
Sijui kama nimeelewa sahihi!!
Na ili niweze kuchati nae inabidi niingie setting ganii maana nimeitafuta sioniWacha nikueleweshe kwa kirefu zaidi
Ingia kwenye hiyo link aliyoweka mdau hapo juu
Register kwa kutumia simu yako au Computer yako (tumia email yako na password kuregister new account itakuwa rahisi zaidi )
Chukua simu ya unayetaka kumdukua
Ingia kwenye hiyo website ya MOBILE TRACKER kisha download APK
Install kwenye simu ya muhusika kisha open
Kisha login kwa kutumia Email yako na password ulivyotumia kujisajili
Kisha utachagua unavyohitaji kama unataka iwe inakupa record ya mazungumzo yake, namba anazowasiliana nazo, msg anazotuma na kupokea n.k. utaweka on
Hakikisha mda wote smartphone yake ina bando ili iwe rahisi na haraka ya kupata matokeo sahihi
ILI KUPATA MATOKEO YA ULICHOKIFANYA SASA UTAFUNGUA WEBSITE YA MOBILE TRACKER KISHA UTALOGIN KWA KUTUMIA SMARTPHONE YAKO AU COMPUTER YAKO KISHA UTACHAGUA UNACHOHITAJI KWENYE DASHBOARD UTAKAYOLETEWA BAADA YA KULOGIN
UNAWEZA KUCHART NA MTU ALIYEKUA ANACHART NAE YEYE KUPITIA KIFAA CHAKO ULICHOTUMIA KULOGIN NA MUHUSIKA AKAWA ANAPOKEA MSG KAMA KAWAIDA ZINAZOONYESHA KATUMIWA NA HUYO MWANAMKE WAKO
DO AT YOUR OWN RISK
Nlikua nadharau sana hii app kumbe unafanya kazi aisee!Inatakiwa iwe smartphone
Unachukua simu yake unaweka hii app
Unachagua data unazohitaji uzipate unaweka email yako (hapa itakupa process yenyewe)
Mwisho ni lazima uchague sehemu ya ku hide hiyo app ili asijue kama kuna app kama hiyo.
Pakua hapa..
Mobile Tracker Free | Cell Phone Tracker App | Monitoring App for Android Smartphone
Mobile Tracker Free is a free application for monitoring & tracking SMS, MMS, Calls, Recording Calls, Locations, Pictures, Facebook, WhatsApp, Applications and more!mobile-tracker-free.com
Hiyo app huwa inapotea after installationiv kuna namna yoyote ya kufanya kwa simu yake ili asigundue kuwa unamdukua??..
maana anaweza ku un-install hiyo app ili usiweze kumpata.
Hauingii settings unaingia kwenye remote control utaona sehemu ya "send message"Na ili niweze kuchati nae inabidi niingie setting ganii maana nimeitafuta sioni
Kwani mnavyoenda kupima Ukimwi kuna guarantee kuwa mtakuwa salama maisha yenu yote? Hamuwezi mkaingia ndoani mtu akaenda kuufuata nje? Kwa hiyo tusipime kwa kuwa katikati ya mahusiano mnaweza kuambukizwa? That's nonsense, fanya lililo ndani ya uwezo wako yanayofuatia muachie Mungu period!Naona wavulana,lakini wanajiita wanaume shupavu.hacking haikupi uhakika wa mtu moja kwa moja, maisha ni safari ndefu,kuna kupanda na kushuka,life sio fair sometimes... Sawa leo waweza mdukua ukaona yuko fine,ukaoa...after years mna watoto kabisa na mumewekeza katika maisha,akabadilika...utafanyaje? Ndoa haipo kama unavyodhani Makaveli 10na mwanaume shupavu ni yule anayeweza kukabiliana na hali yoyote katika maisha, umeonyesha udhaifu sana katika hii defensive mechanism. Tena kwa muda mfupi mnoo umeyatoa hadharani,halafu unasema una moyo wa chuma!! Ungedukua walau six months,sasa kwa vitisho hivyo si lazima akuletee bongo muvi? Rangi halisi uyaiona baada ya miaka, katika hili la mapenzi ,omba mungu akupe mtu mnaefanana hata 80% tu,kisha muombe na ulinzi wa Mungu katika muongozo.ni utoto sana unafanya,sasa kungekuwa hakuna kudukuana ungefanyaje?