Spy App

Spy App

Mtoto wa kiume hautakiwi kuogopa mapenzi. Hayo yakuogopa mapenzi waachie wanawake ila kwa mtoto wa kiume haifai. Ukitaka kuishi kwa raha, mapenzi yaweke kwenye akili maana utafurahia sana. Kama simu ya mpenzi wako unaogopa kushika, ukikuta mke wako anagongwa si utajiua kabisa. Wanawake wapo wengi sana wala haina haja ya kuwaza wanawake. Kutongozwa kwa mwanamke ni jambo la kawaida sana ila kugongwa nje siyo jambo la kawaida. Nyie ndiyo huwa mnalea watoto wa wanaume wenzako kisa hautaki kujua yaliyonyuma ya mke wako.
Hizo ni ndoto mkuu
Kama una hakika wewe binafsi unaweza bila ku cheat basi wapo wanaoweza
Ila kama huwezi basi ujue hawezi pia

Kugongewa utagongewa tu hata ufanye nini
Ukiona anazingua mteme na sio kumfuatilia sana sana utakua mtumwa wa mapenzi
Kikubwa huwa ni heshima
 
Muache tu mkuu
Nahakika unchokitafuta utakipata
Je unaubavu wa kuhimili?

Hakuna malaika just live with it
Mkuu naheshimu mawazo yako, nawe heshimu ya kwangu, wewe huwezi kuwa mimi na mimi siwezi kuwa wewe..

Ubavu wa kuhimili ninao, hakuna malaika sikatai, but sio sababu ya kufanya uchafu, nini maana ya ndoa, nini maana ya kufunga pingu za maisha, yaani nikae na jini ndani linaninyonua damu niache kufanya maamuzi sahihi kwangu, jombaa mie kwenye mapenzi kufanyana punguwani sipendi aheri nikae hivi hivi huru natomba nimtakaye natomba ninavyojisikia, sio mie najituliza ndani ya ndoa halafu mtu analeta mambo ya kiduwanzi, katika ndoa napinga saana kuchepuka!

Mimi ni muislam najua uzito wa zinaa ndani ya ndoa na zinaa kwa asiye ndani ya ndoa, hata rafk zangu waliooa bado wanafanya upuuzi huwa wanakutana na makali yangu!! Kwanini uchepuke, dini inaruhusu oa wa pili, huwezi huyo miyeyusho acha oa anaestahiki..

App nimifanikiwa kuihifadhi hapa naenjoy, naona makucha yake halisi kama ni plastic, udongo, sufi,mfupa ama ni chuma..


Ahsante kwa ushauri chief
 
Huo ndiyo uanaume. Naona wengi wanaogopa mapenzi sana. Kuwa na msimamo sababu mapenzi ni sehemu ya maisha na ukiruhusu mapenzi yakupelekeshe utaishia kulia kila siku. Humu watu wanasema usimdukue lakini wengi wanachepuka sana ndiyo maana hawataki kusikia hii kitu spy app sababu wanajua penzi lao litaota miiba. Mimi siwezi kuwa na mwanamke halafu anagongwa nje napiga chini siku hiyo hiyo kwasababu huyo siyo mke bali unafuga jini.
Swadakta tuko pamoja chief, nishamdukua na kuanza kuona rangi yake halisi.

Pamoja mkuu.
 
Mtu anaeogopa kumfuatilia mpenzi wake ni Dhaifu. Period.
Shida kila mtu anataka tuishi sawa kumbe tofauti..

Tumetofautiana miili, sura, akili, maono, maamuzi, ugumu wa nafsi n.k, sasa nashangaa mtu anafosi mimi niwe yeye, nilipoomba msaada wa app sikumtangazia mtu nae afanye ninachofanya, sababu najua nini ninataka, moyo wangu uko vipi..

Binafsi siwez kuacha kumfatilia mapenzi wangu hasa ninapokuwa nina mashaka nae.
 
Mkuu naheshimu mawazo yako, nawe heshimu ya kwangu, wewe huwezi kuwa mimi na mimi siwezi kuwa wewe..

Ubavu wa kuhimili ninao, hakuna malaika sikatai, but sio sababu ya kufanya uchafu, nini maana ya ndoa, nini maana ya kufunga pingu za maisha, yaani nikae na jini ndani linaninyonua damu niache kufanya maamuzi sahihi kwangu, jombaa mie kwenye mapenzi kufanyana punguwani sipendi aheri nikae hivi hivi huru natomba nimtakaye natomba ninavyojisikia, sio mie najituliza ndani ya ndoa halafu mtu analeta mambo ya kiduwanzi, katika ndoa napinga saana kuchepuka!

Mimi ni muislam najua uzito wa zinaa ndani ya ndoa na zinaa kwa asiye ndani ya ndoa, hata rafk zangu waliooa bado wanafanya upuuzi huwa wanakutana na makali yangu!! Kwanini uchepuke, dini inaruhusu oa wa pili, huwezi huyo miyeyusho acha oa anaestahiki..

App nimifanikiwa kuihifadhi hapa naenjoy, naona makucha yake halisi kama ni plastic, udongo, sufi,mfupa ama ni chuma..


Ahsante kwa ushauri chief
Vipi mkuu anachepuka au yuko safi..?

Nakuja inbox unielekeze namna ya kuingiza app
 
Vipi mkuu anachepuka au yuko safi..?

Nakuja inbox unielekeze namna ya kuingiza app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]

Mkuu sijui niseme anachepuka, sijui niseme yuko safi ni vitimbi tu humo ndani we acha tuu!! Hapa nipo nae hospital kapatwa na presha baada ya kumueleza tuachane una moja mbili 3, naombea tu asinifie mkononi, nimemkimbiza hospital..

Kama una moyo mwepesi kama baadhi ya watu wengine walivyoniambia nisiweke basi usije pm, ila kama una moyo mzito kama mimi basi we njoo pm, wanawake hawa we acha tu unaweza mdundika mtu bisu la roho[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Mkuu sijui niseme anachepuka, sijui niseme yuko safi ni vitimbi tu humo ndani we acha tuu!! Hapa nipo nae hospital kapatwa na presha baada ya kumueleza tuachane una moja mbili 3, naombea tu asinifie mkononi, nimemkimbiza hospital..
Kama una moyo mwepesi kama baadhi ya watu wengine walivyoniambia nisiweke basi usije pm, ila kama una moyo mzito kama mimi basi we njoo pm, wanawake hawa we acha tu unaweza mdundika mtu bisu la roho[emoji23][emoji23][emoji23]
mkuu najaribu kukupm but pm inagoma mkuu!
 
Mkuu mbna PM yako kimyaa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]

Mkuu sijui niseme anachepuka, sijui niseme yuko safi ni vitimbi tu humo ndani we acha tuu!! Hapa nipo nae hospital kapatwa na presha baada ya kumueleza tuachane una moja mbili 3, naombea tu asinifie mkononi, nimemkimbiza hospital..

Kama una moyo mwepesi kama baadhi ya watu wengine walivyoniambia nisiweke basi usije pm, ila kama una moyo mzito kama mimi basi we njoo pm, wanawake hawa we acha tu unaweza mdundika mtu bisu la roho[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Mkuu sijui niseme anachepuka, sijui niseme yuko safi ni vitimbi tu humo ndani we acha tuu!! Hapa nipo nae hospital kapatwa na presha baada ya kumueleza tuachane una moja mbili 3, naombea tu asinifie mkononi, nimemkimbiza hospital..
Kama una moyo mwepesi kama baadhi ya watu wengine walivyoniambia nisiweke basi usije pm, ila kama una moyo mzito kama mimi basi we njoo pm, wanawake hawa we acha tu unaweza mdundika mtu bisu la roho[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo umefanya la maana sana. Siku zote ukitaka kuishi salama mjue mwenzako tabia yake na ukishajua, mchane live na Kama unataka kuendelea naye. Mwambie mawasiliano yako yote ninayo na kila kitu ukifanyacho najua kwahiyo ukichepuka tu mimi na wewe mapenzi ndiyo mwisho. Hapo atajilinda sana na hataacha kuchepuka na akifikiria mtaachana anakuwa mpole.
Wanawake wa sasa. Ndoa wanataka na kuchepuka wanataka halafu wanapenda sana kuonewa huruma.
 
Hizo ni ndoto mkuu
Kama una hakika wewe binafsi unaweza bila ku cheat basi wapo wanaoweza
Ila kama huwezi basi ujue hawezi pia
Kugongewa utagongewa tu hata ufanye nini
Ukiona anazingua mteme na sio kumfuatilia sana sana utakua mtumwa wa mapenzi
Kikubwa huwa ni heshima
Kuumbwa mwanaume maanake ni kukabiliana na magumu. Sasa mtoto wa kiume unashindwa kushika simu ya mkeo au kujua mke wako yuko vipi unaogopa si utakuwa shoger. Kama umeshindwa kushika simu ya mkeo sasa ukikuta anagongwa live si utajiua? Wanaofatilia wake zao ni wanaume rijali wenyewe moyo wa kiume ila kama umeshindwa ujue wewe una moyo wa kike. Mkeo akitoroshwa si utakufa kabisa. Nyie ndiyo mnaelewa watoto wa wanaume wenzenu kwa kuogopa kujua yaliyoko nyuma ya mkeo.
Wanaume tumeumbiwa moyo wa kutopenda yaani ukiwa na mwanamke anazingua unapiga chini, unavuta mwingine ndiyo maana babu zetu waliishi miaka mingi na walioa mpaka wanawake 10 hata 20. Wewe unaweza? Acha kuwa na moyo wa kike. Kupenda waachie wanawake.
Ila pole sana nyie ndiyo mnakufa mkeo akichepuka au kutoroshwa. Kwa akili yako jiandae kulea watoto siyo wako
 
Hapo umefanya la maana sana. Siku zote ukitaka kuishi salama mjue mwenzako tabia yake na ukishajua, mchane live na Kama unataka kuendelea naye. Mwambie mawasiliano yako yote ninayo na kila kitu ukifanyacho najua kwahiyo ukichepuka tu mimi na wewe mapenzi ndiyo mwisho. Hapo atajilinda sana na hataacha kuchepuka na akifikiria mtaachana anakuwa mpole.
Wanawake wa sasa. Ndoa wanataka na kuchepuka wanataka halafu wanapenda sana kuonewa huruma.
Hahaa.. mkuu ngoja nimalize pilika pilika za hospitali then nitakuandikia kwa kirefu.
 
Hongera sana mkuu haya ndio maamuzi ya kiume sasa achana na hao waoga wanao ogopa mapenzi badala ya mapenzi kuwaogopa wao.
 
Back
Top Bottom