SSC: Je, ni wakati wa Kutafakari Hujuma kambini?

SSC: Je, ni wakati wa Kutafakari Hujuma kambini?

Tsyamatsy

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2023
Posts
265
Reaction score
421
Moja Kwa moja kwenye mada, naungana na wazo la Huja, The Jf Expert member kwamba ni wakati wa Kutafakari kwamba inawezekana kambi ya Simba si salama Kwa Hujuma toka Jangwani.
Hii hoja naona ina mshiko na imethibitika toka awali tulipofungwa round ya kwanza zilionekana ni Hujuma lakini viongozi walipotezea na hatimae hizi hatua za kuachana na wachezaji wasaliti ni za muhimu Kwa maendeleo ya timu.
Ushauri Kwa viongozi wawe makini na mamluki, wakimstukia msaliti wasimcheleweshe!
 
Hivi baada ya Simba kufungwa goli tano na Yanga, wale wachezaji ambao viongozi wa Simba waliwatihumu na kisha wakasimamishwa, kwanini wale wachezaji wakapangwa kwenye mechi iliyofuata na mazoezini wakaonekana?
Na kesi TAKUKURU ilifikia wapi? Au haikufunguliwa kesi?

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Hivi baada ya Simba kufungwa goli tano na Yanga, wale wachezaji ambao viongozi wa Simba waliwatihumu na kisha wakasimamishwa, kwanini wale wachezaji wakapangwa kwenye mechi iliyofuata na mazoezini wakaonekana?
Na kesi TAKUKURU ilifikia wapi? Au haikufunguliwa kesi?

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Naona ndio maana sasa wanafagia fagia, wakaze buti na viongozi wawe makini Sana Kwa wachezaji
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Hivi baada ya Simba kufungwa goli tano na Yanga, wale wachezaji ambao viongozi wa Simba waliwatihumu na kisha wakasimamishwa, kwanini wale wachezaji wakapangwa kwenye mechi iliyofuata na mazoezini wakaonekana?
Na kesi TAKUKURU ilifikia wapi? Au haikufunguliwa kesi?

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Huo ndiyo Usaliti aliouzungumzia mleta mada . Ndani ya simba lazima usafi uendelee kufanyika hadi kwa viongozi .
Wamo viongozi mamuluki wa Yanga ndani ya simba na ndiyo Maana Yanga wanasema kwa kujiamini kwamba watabeba ubingwa hadi wachoke kwasabu wanajua kuna watu wao ndani ya simba watakaowarahisishia kufanya huo Usaliti .
 
Makolo acheni ujinga mkiachwa achikeni.
 
Hivi baada ya Simba kufungwa goli tano na Yanga, wale wachezaji ambao viongozi wa Simba waliwatihumu na kisha wakasimamishwa, kwanini wale wachezaji wakapangwa kwenye mechi iliyofuata na mazoezini wakaonekana?
Na kesi TAKUKURU ilifikia wapi? Au haikufunguliwa kesi?
Huwezi ukawaacha wachezaji katkati ya msimu maana hakuna namna ya kuwasajili wengine. Wakati mwingine inabidi kuwavumilia hadi msimu uishe ili walau umalize ukiwa sehemu nzuri
 
Naona ndio maana sasa wanafagia fagia, wakaze buti na viongozi wawe makini Sana Kwa wachezaji
Anayefagia ni nani? Je mna uhakika gani kama huyo mfagizi ni msafi? Kwani hao mnaowatuhumu kuwa ni maduka je yalikuja na duka kutoka huko walikotoka au maduka yametengenezwa? Kama yametengenezwa basi hata hao mnaowaona wasafi wamekuja, yatakuwa ni maduka na magenge vile vile.

2) mmetumia kigezo kipi kujua hao ni maduka ya Yanga?

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Huwezi ukawaacha wachezaji katkati ya msimu maana hakuna namna ya kuwasajili wengine. Wakati mwingine inabidi kuwavumilia hadi msimu uishe ili walau umalize ukiwa sehemu nzuri
Sawa ila ishu ya rushwa ni kesi tena ni kubwa sana katika mpira wa miguu na huwa inahusisha na upangaji wa matokeo. Kufungua kesi TAKUKURU kulikuwa na faida kubwa kuliko kuacha wachezaji. Faida yake ni nini?
1) itakuwa ni funzo kwa wote wanaotesgemea kuhonga na kuhongwa, wataogopa kuchukua na kutoa rushwa.
2) Yanga wasingebeba ubingwa kwasababu ya kashfa ya upangaji wa matokeo hivyo pengine Azam na Simba ndio zingecheza klabu bingwa badala ya Yanga.

Kama hayo yameshindikana kufanyika basi inawezekana ni maneno tu ya kihisia hakuna ushahidi wowote wa kuwafanya wahusika watiwe hatiani

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Hivi baada ya Simba kufungwa goli tano na Yanga, wale wachezaji ambao viongozi wa Simba waliwatihumu na kisha wakasimamishwa, kwanini wale wachezaji wakapangwa kwenye mechi iliyofuata na mazoezini wakaonekana?
Na kesi TAKUKURU ilifikia wapi? Au haikufunguliwa kesi?

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Ndo hao wanapewa thank you
 
Moja Kwa moja kwenye mada, naungana na wazo la Huja, The Jf Expert member kwamba ni wakati wa Kutafakari kwamba inawezekana kambi ya Simba si salama Kwa Hujuma toka Jangwani.
Hii hoja naona ina mshiko na imethibitika toka awali tulipofungwa round ya kwanza zilionekana ni Hujuma lakini viongozi walipotezea na hatimae hizi hatua za kuachana na wachezaji wasaliti ni za muhimu Kwa maendeleo ya timu.
Ushauri Kwa viongozi wawe makini na mamluki, wakimstukia msaliti wasimcheleweshe!
Narudia tatizo la simba ni umbumbumbu wa wanachama wanao msuburi muwekezaji awape furaha
 
Sawa ila ishu ya rushwa ni kesi tena ni kubwa sana katika mpira wa miguu na huwa inahusisha na upangaji wa matokeo. Kufungua kesi TAKUKURU kulikuwa na faida kubwa kuliko kuacha wachezaji. Faida yake ni nini?
1) itakuwa ni funzo kwa wote wanaotesgemea kuhonga na kuhongwa, wataogopa kuchukua na kutoa rushwa.
2) Yanga wasingebeba ubingwa kwasababu ya kashfa ya upangaji wa matokeo hivyo pengine Azam na Simba ndio zingecheza klabu bingwa badala ya Yanga.

Kama hayo yameshindikana kufanyika basi inawezekana ni maneno tu ya kihisia hakuna ushahidi wowote wa kuwafanya wahusika watiwe hatiani

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Hahahahaha hao unaowajibu umajua viongozi wao huwa wanawaitaje ?
 
Sawa ila ishu ya rushwa ni kesi tena ni kubwa sana katika mpira wa miguu na huwa inahusisha na upangaji wa matokeo. Kufungua kesi TAKUKURU kulikuwa na faida kubwa kuliko kuacha wachezaji. Faida yake ni nini?
1) itakuwa ni funzo kwa wote wanaotesgemea kuhonga na kuhongwa, wataogopa kuchukua na kutoa rushwa.
2) Yanga wasingebeba ubingwa kwasababu ya kashfa ya upangaji wa matokeo hivyo pengine Azam na Simba ndio zingecheza klabu bingwa badala ya Yanga.

Kama hayo yameshindikana kufanyika basi inawezekana ni maneno tu ya kihisia hakuna ushahidi wowote wa kuwafanya wahusika watiwe hatiani

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Sio timu zote zinakuwa na muda huo wa kufuatilia kesi. TAKUKURU wenyewe huwa wanapata wakati mgumu kusimamia kesi za rushwa maana ushahidi usio na shaka huwa ni vigumu kuupata. Ndio maana kesi nyingi za rushwa hasa michezoni, huwa zinaishia katikati. Refer madai ya rushwa ya golikipa wa Mtibwa dhidi ya Ulimboka, na madai ya Kabwili dhidi ya kiongozi wa Simba. Yote yaliishia hewani
 
Mawazo ya mbumbumbu ni mtaji wa mwananchi!!


Hii dhana ya usaliti kama sababu ya kushindwa makolo inapaswa kupaliliwa, kumwagiwa maji na kuchochewa.

Hawa mikia hawapaswi kuamshwa wanapaswa kusaidiwa kulala hivi hivi siku zote!!! Sioni Simba ikichukua kombe lolote kwa akili hii ya la saba B!!
 
Mawazo ya mbumbumbu ni mtaji wa mwananchi!!


Hii dhana ya usaliti kama sababu ya kushindwa makolo inapaswa kupaliliwa, kumwagiwa maji na kuchochewa.

Hawa mikia hawapaswi kuamshwa wanapaswa kusaidiwa kulala hivi hivi siku zote!!! Sioni Simba ikichukua kombe lolote kwa akili hii ya la saba B!!
Umesahau kwamba hata utopolo walimtupia virago Tshishimbi kwa tuhuma za Usaliti baada ya kichapo cha 4,1? Au kwakuwa iko upande wa pili ndo unaona haina Maana?

Haya mambo yapo kwenye mpira labda kama umeanza kushabikia mpira kipindi cha mayele
 
Back
Top Bottom