SSC: Je, ni wakati wa Kutafakari Hujuma kambini?


Kesi kuwa ngumu hutokana na kukosa uthibitisho, kama kuna ushahidi na uthibitisho wa kutosha kesi huwa ni nyepesi sana. Ila ukiona kesi inakuwa ngumu ujue ni tuhuma isiyo na vielelezo. Ni sawa na mropokaji tu, sasa kama hauna uthibitisho utasemaje fulani kauza mechi?

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…