TANZIA SSGT Reginald Ruta wa JWTZ amejiua kwenye Kaburi la marehemu Mkewe

TANZIA SSGT Reginald Ruta wa JWTZ amejiua kwenye Kaburi la marehemu Mkewe

Kumbe unamuelewa 0 0 haya bana. [emoji23][emoji23]
naskia jamaa aliishafariki.

kule chini kulivyokuwa kunatisha unakuta mjuba usiku kavunga na kiredio chake kinapiga gospel[emoji16][emoji16].
 
naskia jamaa aliishafariki.

kule chini kulivyokuwa kunatisha unakuta mjuba usiku kavunga na kiredio chake kinapiga gospel[emoji16][emoji16].
[emoji23][emoji23] Kuna mwamba nae alikuwa anaitwa Roja unampata?
 
Kuna wazee wana upendo sana kwa wake zao dah, apumzike kwa amani.
 
Pole yao sana wafiwa, il huyo aliyejiua mambo yake tunamuachie mwenyewe...
 
Hivi wale waliohukumiwa kunyongwa na kudungwa sindano huku wame fungwa kwenye death bed ilikuwaje mpaka wakapiga marufuku

"Lethal injection - Wikipedia
By early 2014, a number of botched executions involving lethal injection, and a rising shortage of suitable drugs, had some U.S. states ..."
Walipiga marufuku kwa sababu walidhani labda sumu hiyo inaleta maumivu.

Iliyokuwa ilitumika awali ilianza kukosekana sokoni baada ya wazalishaji kusitisha biashara kwa sababu ya siasa tata za hukumu ya kifo.

Kwa hiyo bado wanatafuta sumu ya binadamu inayoua bila purukushani.

Sisi mpaka leo hatujui ni kitu gani binadamu akila anakufa japo tumetokea misituni, mashambani kwenye mizizi na masokwe na wadudu wa kila aina ambako tungeweza kuchunguza.

Vifo vyetu tunavyovijua sisi ni kuliwa na mamba, kukatwa mapanga, kupondwa na gari, kuuliwa na minyoo, mbu, vifaduro, tetekuanga, kaswende na utapiamlo.

Nje ya hapo tukikuta maiti yenye utata tunasema kajinyonga. Jeshi la Polisi linasema tatizo wivu wa mapenzi. Hata kwa mkeo, wivu wa mapenzi!. Kwa hiyo umwachie mkeo achepuliwe na kila mwanakijiji mwenzio kwa sababu hutakiwa kuwa na wivu wa mapenzi!
 
Kipo alichokikosa kwa mkewe huku akiamini hawezi kuishi bila yeye, na mbaya zaidi akakosa hata faraja ya walimwengu
Nimegundua ukipenda sana unakuwa taahira.Moja ya kitu nilichojifunza ukimpenda mke sana na hata mke akikupenda kupitiliza ni aina flani ya ugonjwa wa akili.Kitu kingine kuna stage flani za maisha ukizivuka ukubwani zikiibuka zinasumbua sana.
 
Walipiga marufuku kwa sababu walidhani labda sumu hiyo inaleta maumivu.

Iliyokuwa ilitumika awali ilianza kukosekana sokoni baada ya wazalishaji kusitisha biashara kwa sababu ya siasa tata za hukumu ya kifo.

Kwa hiyo bado wanatafuta sumu ya binadamu inayoua bila purukushani.

Sisi mpaka leo hatujui ni kitu gani binadamu akila anakufa japo tumetokea misituni, mashambani kwenye mizizi na masokwe na wadudu wa kila aina ambako tungeweza kuchunguza.

Vifo vyetu tunavyovijua sisi ni kuliwa na mamba, kukatwa mapanga, kupondwa na gari, kuuliwa na minyoo, mbu, vifaduro, tetekuanga, kaswende na utapiamlo.

Nje ya hapo tukikuta maiti yenye utata tunasema kajinyonga. Jeshi la Polisi linasema tatizo wivu wa mapenzi. Hata kwa mkeo, wivu wa mapenzi!. Kwa hiyo umwachie mkeo achepuliwe na kila mwanakijiji mwenzio kwa sababu hutakiwa kuwa na wivu wa mapenzi!

mkuu polisi huchunguza mpaka mawasiliano ya mhanga,ndipo huja na hoja hiyo mbele ya camera.

hata mchepuko ukifika guest ukaukimbia na simu zote kuficha ushahidi,wanachukua namba ya marehem na kuipeleka tigo au voda,wanapewa history yote kuanzia sms mpaka calls[emoji4][emoji4].
 
Back
Top Bottom