SSH-2025 Brigade, namuona Easter Bulaya, Halima Mdee mguu kwa mguu na UWT & CCM kumsimika Mama katika Urais 2025

SSH-2025 Brigade, namuona Easter Bulaya, Halima Mdee mguu kwa mguu na UWT & CCM kumsimika Mama katika Urais 2025

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Nadhani huu ni mkakati bora kabisa ambao utasisimua siasa kuelekea 2025, utaua women wing ya chadema na hata ya vijana. Halima Mdee na Easter Bulaya na troop nzima ya wanoitwa Covid ni "dhahabu" ya kisiasa inayomezewa mate na CCM, japo chadema wamekomaa kuwachafua, wamebalansi hali yao kisiasa,bado wako juu, vuta picha hawa wadada wanamwaga sera kabla mama hajasimama kupiga finishing! Ni suala la muda tu!

Chadema wameshindwa kuwafukuza, wanajua madhara ya hizi "mashine" zikiwashwa na upande wa pili. Horse power bilioni tano!
Samia sema ...sema usiogope semaaa, samia semaaa sema usiogope semaaa sisi vijana tuko tayari kutekeleza semaa

We are marching to 2025 in colours

Code SSH-2025
We are Tanzanians
We are for Samia
UWT setting the agenda
Mama wa maendeleo
Yes-SSH2025, tunasimama na mama
 
Mngejua madhara yake yatakuwaje hapo baadae msingewanadi sana hao wanaovunja katiba ya nchi,ya chama walikotoka nahuko walikohifadhiwa.
CCM wanaonyesha urafiki sasa,nao wameingia kati.
Subiri watakavyoumizwa na wasiyemjua.
 
3000937_IMG-20211115-WA0053.jpg
 
Kumekua na ongezeko la watu kuota mchana
Mkuu, tunatest mitambo na kufunga busta, mastermind wako mezani wanaichora ramani yote ya 2025, endelea kuota, utakula unachoota, final draft on the way, subiri surprise
 
Nadhani huu ni mkakati bora kabisa ambao utasisimua siasa kuelekea 2025, utaua women wing ya chadema na hata ya vijana. Halima Mdee na Easter Bulaya na troop nzima ya wanoitwa Covid ni "dhahabu" ya kisiasa inayomezewa mate na CCM, japo chadema wamekomaa kuwachafua, wamebalansi hali yao kisiasa,bado wako juu, vuta picha hawa wadada wanamwaga sera kabla mama hajasimama kupiga finishing! Ni suala la muda tu!

Chadema wameshindwa kuwafukuza, wanajua madhara ya hizi "mashine" zikiwashwa na upande wa pili. Horse power bilioni tano!
Samia sema ...sema usiogope semaaa, samia semaaa sema usiogope semaaa sisi vijana tuko tayari kutekeleza semaa

We are marching to 2025 in colours

Code SSH-2025
We are Tanzanians
We are for Samia
UWT setting the agenda
Mama wa maendeleo
Yes-SSH2025, tunasimama na mama
Hizi mashine zikiwashwa mabwawa yatakauka zitasababisha mgao.
 
Tatueni kwanza Changamoto za Maji na Umeme, tafuteni suluhisho la kudumu siyo blah blah na sifa za kijinga majukwaani! Nimemuona Awesso leo anasaidia wakazi wa DSM kubeba madumu ya maji, ujinga mtupu!! 2025 bado sana, miaka 4 mbele, lolote linaweza kutokea kabla ya kufika huko....
 
Hizi mashine zikiwashwa mabwawa yatakauka zitasababisha mgao.
Watu wako workshop wanasuka one of the sophisticated structure, nondo kwa nondo,waya kwa waya,zege kwa zege, dunia itashuhudia moja kati ya kampeni nzito na matata itakayoendeshwa na jabali la kizanzibari
 
Nadhani huu ni mkakati bora kabisa ambao utasisimua siasa kuelekea 2025, utaua women wing ya chadema na hata ya vijana. Halima Mdee na Easter Bulaya na troop nzima ya wanoitwa Covid ni "dhahabu" ya kisiasa inayomezewa mate na CCM, japo chadema wamekomaa kuwachafua, wamebalansi hali yao kisiasa,bado wako juu, vuta picha hawa wadada wanamwaga sera kabla mama hajasimama kupiga finishing! Ni suala la muda tu!

Chadema wameshindwa kuwafukuza, wanajua madhara ya hizi "mashine" zikiwashwa na upande wa pili. Horse power bilioni tano!
Samia sema ...sema usiogope semaaa, samia semaaa sema usiogope semaaa sisi vijana tuko tayari kutekeleza semaa

We are marching to 2025 in colours

Code SSH-2025
We are Tanzanians
We are for Samia
UWT setting the agenda
Mama wa maendeleo
Yes-SSH2025, tunasimama na mama
Kubwa jinga! Watu tunashindwa kujisaidia na kuoga maji hakuna. Mnawaza kuingia tena keundeleza u.jinga?
 
CCM wameishiwa kila kitu, siku hizi mpaka makapi ya Chadema wanajiokotea tu tena bila aibu
 
Nadhani huu ni mkakati bora kabisa ambao utasisimua siasa kuelekea 2025, utaua women wing ya chadema na hata ya vijana. Halima Mdee na Easter Bulaya na troop nzima ya wanoitwa Covid ni "dhahabu" ya kisiasa inayomezewa mate na CCM, japo chadema wamekomaa kuwachafua, wamebalansi hali yao kisiasa,bado wako juu, vuta picha hawa wadada wanamwaga sera kabla mama hajasimama kupiga finishing! Ni suala la muda tu!

Chadema wameshindwa kuwafukuza, wanajua madhara ya hizi "mashine" zikiwashwa na upande wa pili. Horse power bilioni tano!
Samia sema ...sema usiogope semaaa, samia semaaa sema usiogope semaaa sisi vijana tuko tayari kutekeleza semaa

We are marching to 2025 in colours

Code SSH-2025
We are Tanzanians
We are for Samia
UWT setting the agenda
Mama wa maendeleo
Yes-SSH2025, tunasimama na mama
Mkuu Achana na CHADEMA, ukishapigwa take na Chadema habari YAKO inakua imekwisha labda ubaki kubebwa bebwa tumeona wangapi , kwisha habari yao
 
Tatueni kwanza Changamoto za Maji na Umeme, tafuteni suluhisho la kudumu siyo blah blah na sifa za kijinga majukwaani! Nimemuona Awesso leo anasaidia wakazi wa DSM kubeba madumu ya maji, ujinga mtupu!! 2025 bado sana, miaka 4 mbele, lolote linaweza kutokea kabla ya kufika huko....
Anaweza mtu akamfuataJiwe
 
Back
Top Bottom