chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Nadhani huu ni mkakati bora kabisa ambao utasisimua siasa kuelekea 2025, utaua women wing ya chadema na hata ya vijana. Halima Mdee na Easter Bulaya na troop nzima ya wanoitwa Covid ni "dhahabu" ya kisiasa inayomezewa mate na CCM, japo chadema wamekomaa kuwachafua, wamebalansi hali yao kisiasa,bado wako juu, vuta picha hawa wadada wanamwaga sera kabla mama hajasimama kupiga finishing! Ni suala la muda tu!
Chadema wameshindwa kuwafukuza, wanajua madhara ya hizi "mashine" zikiwashwa na upande wa pili. Horse power bilioni tano!
Samia sema ...sema usiogope semaaa, samia semaaa sema usiogope semaaa sisi vijana tuko tayari kutekeleza semaa
We are marching to 2025 in colours
Code SSH-2025
We are Tanzanians
We are for Samia
UWT setting the agenda
Mama wa maendeleo
Yes-SSH2025, tunasimama na mama
Chadema wameshindwa kuwafukuza, wanajua madhara ya hizi "mashine" zikiwashwa na upande wa pili. Horse power bilioni tano!
Samia sema ...sema usiogope semaaa, samia semaaa sema usiogope semaaa sisi vijana tuko tayari kutekeleza semaa
We are marching to 2025 in colours
Code SSH-2025
We are Tanzanians
We are for Samia
UWT setting the agenda
Mama wa maendeleo
Yes-SSH2025, tunasimama na mama