SSH-2025 Brigade, namuona Easter Bulaya, Halima Mdee mguu kwa mguu na UWT & CCM kumsimika Mama katika Urais 2025

SSH-2025 Brigade, namuona Easter Bulaya, Halima Mdee mguu kwa mguu na UWT & CCM kumsimika Mama katika Urais 2025

Yeyote anayetoka Chadema akienda CCM ni lulu!
 
Nadhani huu ni mkakati bora kabisa ambao utasisimua siasa kuelekea 2025, utaua women wing ya chadema na hata ya vijana. Halima Mdee na Easter Bulaya na troop nzima ya wanoitwa Covid ni "dhahabu" ya kisiasa inayomezewa mate na CCM, japo chadema wamekomaa kuwachafua, wamebalansi hali yao kisiasa,bado wako juu, vuta picha hawa wadada wanamwaga sera kabla mama hajasimama kupiga finishing! Ni suala la muda tu!

Chadema wameshindwa kuwafukuza, wanajua madhara ya hizi "mashine" zikiwashwa na upande wa pili. Horse power bilioni tano!
Samia sema ...sema usiogope semaaa, samia semaaa sema usiogope semaaa sisi vijana tuko tayari kutekeleza semaa

We are marching to 2025 in colours

Code SSH-2025
We are Tanzanians
We are for Samia
UWT setting the agenda
Mama wa maendeleo
Yes-SSH2025, tunasimama na mama
Hata Magu mlidhania hivi hivi alipokuja Tundu Lissu mlikua mnaomba poo pale kabureta ilipokua inachemsha mnamtaftia visa ili nae asimame mikutano
 
Tunawakaribisha CCM Ila wajue wao ni team Magufuli na si team mama. Na wasitegemee kubebwa kama walivyobebwa wapinzani walionunuliwa kwa Kodi zetu na baadaye kupewa vyeo tukaachwa Sisi wafia Chama. Pole zenu Covid-19. Bora mkaombe nafasi pembeni ya kaburi la boss wenu mzikwe naye pale.
 
Nadhani huu ni mkakati bora kabisa ambao utasisimua siasa kuelekea 2025, utaua women wing ya chadema na hata ya vijana. Halima Mdee na Easter Bulaya na troop nzima ya wanoitwa Covid ni "dhahabu" ya kisiasa inayomezewa mate na CCM, japo chadema wamekomaa kuwachafua, wamebalansi hali yao kisiasa,bado wako juu, vuta picha hawa wadada wanamwaga sera kabla mama hajasimama kupiga finishing! Ni suala la muda tu!

Chadema wameshindwa kuwafukuza, wanajua madhara ya hizi "mashine" zikiwashwa na upande wa pili. Horse power bilioni tano!
Samia sema ...sema usiogope semaaa, samia semaaa sema usiogope semaaa sisi vijana tuko tayari kutekeleza semaa

We are marching to 2025 in colours

Code SSH-2025
We are Tanzanians
We are for Samia
UWT setting the agenda
Mama wa maendeleo
Yes-SSH2025, tunasimama na mama
NI UJINGA CCM Kula MATAPISHI ya CHADEMA wakati CCM ina idadi kubwa ya Wanachama Wanawake

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Nadhani huu ni mkakati bora kabisa ambao utasisimua siasa kuelekea 2025, utaua women wing ya chadema na hata ya vijana. Halima Mdee na Easter Bulaya na troop nzima ya wanoitwa Covid ni "dhahabu" ya kisiasa inayomezewa mate na CCM, japo chadema wamekomaa kuwachafua, wamebalansi hali yao kisiasa,bado wako juu, vuta picha hawa wadada wanamwaga sera kabla mama hajasimama kupiga finishing! Ni suala la muda tu!

Chadema wameshindwa kuwafukuza, wanajua madhara ya hizi "mashine" zikiwashwa na upande wa pili. Horse power bilioni tano!
Samia sema ...sema usiogope semaaa, samia semaaa sema usiogope semaaa sisi vijana tuko tayari kutekeleza semaa

We are marching to 2025 in colours

Code SSH-2025
We are Tanzanians
We are for Samia
UWT setting the agenda
Mama wa maendeleo
Yes-SSH2025, tunasimama na mama
Haya ndio muyajadili huko CCM na Mdee wenu. Chadema tunasonga kidigital
 
Nadhani huu ni mkakati bora kabisa ambao utasisimua siasa kuelekea 2025, utaua women wing ya chadema na hata ya vijana. Halima Mdee na Easter Bulaya na troop nzima ya wanoitwa Covid ni "dhahabu" ya kisiasa inayomezewa mate na CCM, japo chadema wamekomaa kuwachafua, wamebalansi hali yao kisiasa,bado wako juu, vuta picha hawa wadada wanamwaga sera kabla mama hajasimama kupiga finishing! Ni suala la muda tu!

Chadema wameshindwa kuwafukuza, wanajua madhara ya hizi "mashine" zikiwashwa na upande wa pili. Horse power bilioni tano!
Samia sema ...sema usiogope semaaa, samia semaaa sema usiogope semaaa sisi vijana tuko tayari kutekeleza semaa

We are marching to 2025 in colours

Code SSH-2025
We are Tanzanians
We are for Samia
UWT setting the agenda
Mama wa maendeleo
Yes-SSH2025, tunasimama na mama
chinembe Chief Hangaya sio lile jiwe, yeye hafanyi hizi biashara za akina polepole
 
Nadhani huu ni mkakati bora kabisa ambao utasisimua siasa kuelekea 2025, utaua women wing ya chadema na hata ya vijana. Halima Mdee na Easter Bulaya na troop nzima ya wanoitwa Covid ni "dhahabu" ya kisiasa inayomezewa mate na CCM, japo chadema wamekomaa kuwachafua, wamebalansi hali yao kisiasa,bado wako juu, vuta picha hawa wadada wanamwaga sera kabla mama hajasimama kupiga finishing! Ni suala la muda tu!

Chadema wameshindwa kuwafukuza, wanajua madhara ya hizi "mashine" zikiwashwa na upande wa pili. Horse power bilioni tano!
Samia sema ...sema usiogope semaaa, samia semaaa sema usiogope semaaa sisi vijana tuko tayari kutekeleza semaa

We are marching to 2025 in colours

Code SSH-2025
We are Tanzanians
We are for Samia
UWT setting the agenda
Mama wa maendeleo
Yes-SSH2025, tunasimama na mama
Kwani huko CCM hakuna wapambanaji?

Hii hoja haina tija kiuhalisia.Itakuwa turufu kwao kujiunga na chama chochote cha upinzani kuliko kuwasaidia Chadema kuhalaisha wanachokiita usaliti.
 
Kwenye Siasa hakuna rafiki wa kudumu, ila Kuna maslahi tu ndio yanaangaliwa
 
Nadhani huu ni mkakati bora kabisa ambao utasisimua siasa kuelekea 2025, utaua women wing ya chadema na hata ya vijana. Halima Mdee na Easter Bulaya na troop nzima ya wanoitwa Covid ni "dhahabu" ya kisiasa inayomezewa mate na CCM, japo chadema wamekomaa kuwachafua, wamebalansi hali yao kisiasa,bado wako juu, vuta picha hawa wadada wanamwaga sera kabla mama hajasimama kupiga finishing! Ni suala la muda tu!

Chadema wameshindwa kuwafukuza, wanajua madhara ya hizi "mashine" zikiwashwa na upande wa pili. Horse power bilioni tano!
Samia sema ...sema usiogope semaaa, samia semaaa sema usiogope semaaa sisi vijana tuko tayari kutekeleza semaa

We are marching to 2025 in colours

Code SSH-2025
We are Tanzanians
We are for Samia
UWT setting the agenda
Mama wa maendeleo
Yes-SSH2025, tunasimama na mama
Uko nao CCM sijui unasemaje?
 
Nadhani huu ni mkakati bora kabisa ambao utasisimua siasa kuelekea 2025, utaua women wing ya chadema na hata ya vijana. Halima Mdee na Easter Bulaya na troop nzima ya wanoitwa Covid ni "dhahabu" ya kisiasa inayomezewa mate na CCM, japo chadema wamekomaa kuwachafua, wamebalansi hali yao kisiasa,bado wako juu, vuta picha hawa wadada wanamwaga sera kabla mama hajasimama kupiga finishing! Ni suala la muda tu!

Chadema wameshindwa kuwafukuza, wanajua madhara ya hizi "mashine" zikiwashwa na upande wa pili. Horse power bilioni tano!
Samia sema ...sema usiogope semaaa, samia semaaa sema usiogope semaaa sisi vijana tuko tayari kutekeleza semaa

We are marching to 2025 in colours

Code SSH-2025
We are Tanzanians
We are for Samia
UWT setting the agenda
Mama wa maendeleo
Yes-SSH2025, tunasimama na mama
Kwenye siasa ukishakosa moral authority na support na kuonekana Yuda, your completely finished!! Atakayejifanya kuongozana na wewe atazamishwa na wewe!! Wewe imagine Halima alivyokuwa na ushawishi ila baada ya usaliti hakuweza kufanya hata mkutano mmoja WA hata kujipendekeza Kwa wananchi!! Hata kama angefanya asingeweza kupata Mtu!! Juzi Naona alikodi coaster na akina mama 30 WA kulipwa Kitu ambacho hata akina mama wanaowachamba wenzao wanafanya bila shida!! Ndugu jamii ndio inayokuzamisha au kuinua na hutakiwi kuiangusha
 
Kwenye siasa ukishakosa moral authority na support na kuonekana Yuda, your completely finished!! Atakayejifanya kuongozana na wewe atazamishwa na wewe!! Wewe imagine Halima alivyokuwa na ushawishi ila baada ya usaliti hakuweza kufanya hata mkutano mmoja WA hata kujipendekeza Kwa wananchi!! Hata kama angefanya asingeweza kupata Mtu!! Juzi Naona alikodi coaster na akina mama 30 WA kulipwa Kitu ambacho hata akina mama wanaowachamba wenzao wanafanya bila shida!! Ndugu jamii ndio inayokuzamisha au kuinua na hutakiwi kuiangusha
Ataibuka kisiasa, ngoja aanze kumwaga mboga na ugali kwa pamoja ....mambo ya Chadema yote yataanikwa hadharani
 
Ataibuka kisiasa, ngoja aanze kumwaga mboga na ugali kwa pamoja ....mambo ya Chadema yote yataanikwa hadharani
Naona kama unajifariji, hasira za wana-cdm ni Halima kuside na uchaguzi uliochafuliwa kupita Maelezo
 
Nadhani huu ni mkakati bora kabisa ambao utasisimua siasa kuelekea 2025, utaua women wing ya chadema na hata ya vijana. Halima Mdee na Easter Bulaya na troop nzima ya wanoitwa Covid ni "dhahabu" ya kisiasa inayomezewa mate na CCM, japo chadema wamekomaa kuwachafua, wamebalansi hali yao kisiasa,bado wako juu, vuta picha hawa wadada wanamwaga sera kabla mama hajasimama kupiga finishing! Ni suala la muda tu!

Chadema wameshindwa kuwafukuza, wanajua madhara ya hizi "mashine" zikiwashwa na upande wa pili. Horse power bilioni tano!
Samia sema ...sema usiogope semaaa, samia semaaa sema usiogope semaaa sisi vijana tuko tayari kutekeleza semaa

We are marching to 2025 in colours

Code SSH-2025
We are Tanzanians
We are for Samia
UWT setting the agenda
Mama wa maendeleo
Yes-SSH2025, tunasimama na mama
Kwa taarifa yako Mama Samia hataki Uchafu aka Shombo aka leftovers.
 
Ester Bulaya ndiyo kirusi chenyewe, ilikuwa KOSA KUBWA kumpa uanachama, alikuja kwa lengo maalum.
 
Back
Top Bottom