bidam90
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 273
- 202
labda UDOM ya 2007 c o ya sasa! huo ujumbe waliweka kipindi kile chuo kikiwa na changamoto nyingi hasa baada ya wanafunzi wanaosomea biashara ka ckosei kugoma kwenda field nadhan!ila kwa sasa kwe interview mbona wapo wengi tu wanashindana na wa vyuo vyengine"We are welcoming all applicants with exception of students from The University of Dodoma (Due to the internal criterias we need)"
And jamaa unasema UDOM are doin better, nigger u serious? Reason inayofanya Saut wasiwe na discontinuation kwa wasiofikisha alama ni kuhakikisha wanakusaidia taratibu hadi ufikie kiwango cha wewe kuwa na elimu, sio kukufukuza, ili uende wapi?
Next time jitahidi kuwa na uchambuzi yakinifu kabla ya kuandika.
No offense, but you're an IDIOT.
Thanks