St. Francis Mbeya kuna siri gani?

Hivi hapa ulikua unamjibu nani aisee?!!
 
Haujui tu

Binti zangu wamesoma hapo, najuwa ninachokisema.

Wana nidhamu ya hali ya juu.

Hata kama una mtoto legelege, akifika pale utashangaa likizo ya kwanza akirudi kwako atakavyokuwa amebadilika.

Wanastahili
Mkali hii mbona kama kamba? We watoto wa kupita mchujo wa ST Francis umewatoa wapi😂😂😂😂😂😂
 
Hahahah hizi Ilboru, Kibaha, Mzumbe, Tabora, Kilakala na shule zingine kongwe za serikali zinakuwaga na majitu yenye akili za kutisha. Imagine mwaka 2006 Tanzania one form six katoka Tosamaganga. Raha ni kwamba hawa majamaa hadi chuo yanakimbiza hatari kabisa.
 
Na mkae mkijua st Francis wanafunzi wana masomo ya upishi na ushonaji so wanatoka na kaujuzi pia
 
Na mkae mkijua st Francis wanafunzi wana masomo ya upishi na ushonaji so wanatoka na kaujuzi pia
Mi mwenyewe nilisomea Music pale Kisi so hamna maajabu
 
Daah hongera sana mzee wangu mi wa kwangu sijui atapiga one au ndo vitakua vya kurithi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jitihada na nidhamu na utulivu wa kiroho.

Mungu amsaidie.
 
Mimi binafsi nakataaa hayo matokeo aisee, hata kama wana akili huo ufaulu wa kiasi hicho kuna kitu cha ziada... Hiyo shule ichunguzwe vzuri kuanzia miezi mitatu kabla ya kufanya mtihani na siku za mitihani
Mitihani ya NECTA hutungwa na walimu kutoka shule kama hizo...Ilboru, Mzumbe, St Francis, Kibaha etc.

Lazima wafaulu kwa sababu maswali mengi wanakuwa wameyafanya kupitia mazoezi kujiandaa na Final
 
Unazungumziaje ilboru yenye 1.7 39?
 
Mimi binafsi nakataaa hayo matokeo aisee, hata kama wana akili huo ufaulu wa kiasi hicho kuna kitu cha ziada... Hiyo shule ichunguzwe vzuri kuanzia miezi mitatu kabla ya kufanya mtihani na siku za mitihani
Mkuu amini maana wanasimamiwa na watu wa Baraza
 
Elimu ya siku hizi imekuwa mdebwedo sana! Ukitaka kujua hili waulize walimu wa vyuo na waajiri. Binafsi sio Mara moja nimewafanyia interview vijana kwenye mambo ya kazi na naishia kusikitika jinsi uelewa wao ulivyo wa mashaka.
Siyo vijana tu, hata viongozi...imagine Rais anahimiza kabisa mawaziri wale kwa urefu wa kamba zao (meaning waibe)🤔
 
Mimi sio mjinga wala hapo hakuna udanganyifu.
 
Kuna binamu yangu amepata division three, nawaza kwenda kuappeal. Binamu yangu ni kilaza alietukuka. Amefaulu vipi?
 
Mkuu ukitaka ujue vizuri kuna nini pale, mpeleke mwanao halafu utakuja kutuambia umeona nini 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…