St. Francis Mbeya kuna siri gani?

St. Francis Mbeya kuna siri gani?

Hio shule inanunua mitihani na kufanya mwezi mmoja kabla ya mitihani ya taifa na huwa maswali yanarudiwa kwa msisitizo mkubwa Sana ......

Hao watoto wanaomaliza huko hawana uwezo kabisa wa kufaulu hivyo, never ever....

Hapa bongo ukishakuwa na pesa hakuna kinachoshindikana, paper za NECTA zinanunuliwa na watoto Wana solve mapema kabisa ...

Hio shule ada yake tu unaweza kula mwaka mzima ,kununua pepar wizaran kupitia kwa mamuruki ni kitu rahisi Sana .....mbaya zaidi wafanyakazi wengi wa serikali dawa yao ni pesa ,kwa million 20 anakuletea pepar la necta lotee mwezi mmoja kabla .....


Niamaini Mimi haya nayoyasema
Bado humjasaidia mtoa mada. Wamekuwa wakifanya vizuri kwa muda mrefu,Hakuna wa kushtuka kweli kama Kuna kitu kisicho cha kawaida!!!
 
Endelea kukataa ila ungewah kusoma private kwenye shule inayofanya vzr hata usingeshangaa

Mm nimesoma prvt inayofanya vzr na form four yetu tulikuwa wa 18 kitaifa huku tukiwa na division 2 moja pekee

But nikusaidie tu mchujo wa kuingia form one walikuja watoto zaid ya 3000 ila shule ikachagua 200 tu ambao walipitia mchujo mara tatu kisha wakawekwa darasan dec nzima then january walim waliokuwa wanawafundisha ile dec wakasort watoto 150 pekee wengine 50 wakasepa home

Hapo kidato cha pili na cha tatu mchujo ni mkubwa sana

Tulipokuwa tunaingia kidato cha tatu tukaambiwa kabisa form four haizid watu 40 na hapo tuko 90 ivyo kupambana kwako ndo kufaul kwako

Wastan wa kuingia kidato cha nne ilikuwq 65 ufaul wetu ukawa mkubwa wakapandisha mpk 78 ndo tukapita watu 40 pekee

Hapo usisahau tukiwa kidato cha tatu tulimaliza topic zote za kidato cha tatu na cha nne

So form four hatukusoma topic yoyote tulishacover huko nyuma

Kidato cha nne tulifanya mitohani kama huo wa taifa 16 kabla ya necta yenyewe(na haikuwa inatungwa wala kusahihishwa na walim wetu walikuwa wanaenda mikoa tofaut kukodi walim bora ndo wanafanya hilo)

Usisahau kuwa tangu tuneingia kidato cha nne kazi yetu ilikuwa kufanya marudio ya topic za nyuma zenye shida/kujisomea na kubwa kabisa kuna walim ambao mara nyingi wanachaguliwaga kwenda kusahihisha mitihan ya taifa(walikuwa wanakodiwa kuja kutufundisha mitihan ya taifa inasahihishwaje? Marking scheme zao zinakuwaje? Hii ilitujenga namna ya kujibu mitihan ya taifa tofaut na mitihan ya shule

Bro kubali shule bora zina vitu vingi zina offer kwa mwanafunzi bora(ukumbuke pale hawaendi vilaza)
 
A anapata yeyeto tu awe kata au senti inategemea na siku hio mwanafunzi aliamkaje.
Hizi shule type hizo wanafundishwa zaidi kujibu mitihani na sio kuelewa masomo thus wakija vyuoni uburuzwa vizuri tu na kuku wa kienyeji waliosoma kata.
 
Mkuu sio rahisi sana kila mwaka ununue mitihani na Mamlaka zikae kimya tu.

Lazima watachukua hatua.
Mkuu hao ni walimu wako kwenye mfumo mzima ....


Unajua mitihani ya necta form four inatugwa vip? Kama unajua mtihani unatugwa vip ndio utaweza kukubaliana na Mimi kuwa kuvujisha maswali yanayotoka kwenye mtihani wa necta ni simple Sana....


Kama mnadhani ni uongo ....

Naomba mkafuatilie pepar wanazofanya hawa watoto kabla ya necta ...hapa namaanisha "pre -necta examination na "ready for necta"....

Baada ya kupitia hizo Pepar njoo uangalie necta ,ndio utajua hujui ....

Kwenye physics ,biology na chemistry practical ndio usiseme [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaani hapa uanaambiwa live kabisa kuwa ,swali la volumetric analysisi volume of acid (Va=23.6 ) hakuna haja ya kuhangaika na pipete ,Wala measuring cylinder ...

Biology sample zote za viumbe wanaambiwa ,na ndio vinatoka ..

Physics kwenye equilibrium ,electric current ,sample zote wanaambiwa ...

Watoto wanatafuniwa kila kitu kuanzia ,bwenini kufanya usafi ,shule kufagia wanafanyiwa ,kutandika vitanda ,vyooni kudekiwa ,Hadi kufuliwa nguo ,walimu wanawatafunia material darasani ,Hadi mitihani ya necta wanatafuniwa .....hao watoto wanachojivunia ni uelewa wa mambo mbalimbali kutokana na tour ,na safari mbalimbali mbunga za wanyama n.k ....Ni mayai mayai tu

Lakin mtoto wa vidumu na maji ni more powerful and creative ,ni vile tu kiingereza ndio inakuwa tatizo ...


Msiwe wajinga Sana ,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Waliopo huko ulipopataja ni vipanga maskini. Mtu asome primary za mamilioni na aongoze halafu apelekwe shule za serikali akale maharage yaliyooza kweli? Ama vyakula vibovu vya wazabuni wasiolipwa kwa wakati
Na hao vipanga masikini ndiyo magenius halisi ambao wame strive kwa minimal resources halafu waka prosper.
 
Inawezekana lakini binafsi nishawahi ona mtihani wao wa geography namna wanaandika essay aisee nikalinganaisha na mwanangu wa Kajamba nani nikaona kabisa kuna tofauti mkubwa mno. Wale mabinti wanaandika essay point to point afu kitu clear sio mtoto anaandika essay afu point inafichwa fichwa ndani kama gaidi[emoji1787][emoji1787].....hawa mabinti kwa essay ni moto wa kuotea taliban, wanakuandikia essay afu wanakupangia kwa paragraphs kwa tumikogo kiasi kama vile Furthermore sijui nevertheless mara to begin with yani lazima msahishaji ufurahi.
Hili la Essay hata mimi mtoka shule za kajamba nani Magamba Boys na Tosamaganga Boys nilikuwa naandika hivyo kitambo
 
Hili la Essay hata mimi mtoka shule za kajamba nani Magamba Boys na Tosamaganga Boys nilikuwa naandika hivyo kikitambo
Ila huwafikii ST mwanangu hapo unatupanga😂😂😂😂😂😂
 
Kama unataka kuaamini, baada ya kumaliza huo mtihani, wachukue hao watoto watungue paper la standard ya kawaida tu, then wape uone kama hao watoto wote 97 wanaweza kupata one ya point 7.....

Unajua div 1.7 wewe ,yaani watoto wote hao wapate A 7 kwenye masomo yao?????.....

Hao watoto ni weupe mno ,believe me, ni vile tu hata advance wanapelekwa shule za aina hio hio ,Bado vyuoni wanaenda kupotea kwani hawaoneshagi uwezo huo kabisa ,wanaishia gpa za 2.3 na supp juu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Big no
Tunakutana nao vyuoni, wala hawana maajabu, au watoke huko waende serikali wanakua weupee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanastahili kwa kweli
 
Aliyefaulu kiukweli bila kuiba mtihani ni huyo wa Ilboru, kipindi nimeenda advance level darasa letu lilikuwa na hao waliotoka st Francis na kila mtu aliwaogopa chakushangaza mtihani wa kwanza marks walizopata ni tofauti na hizo one zao. Huko private ni business kwa kwenda mbele na solving za paper kwa ajili ya kupata A za kutosha wakati zikija kitaa inputs yake ni zero kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tukisema hivi tunaambiwa wivu au roho mbaya, kumbe ni kweli kabisaa.
 
Hio shule inanunua mitihani na kufanya mwezi mmoja kabla ya mitihani ya taifa na huwa maswali yanarudiwa kwa msisitizo mkubwa Sana ......

Hao watoto wanaomaliza huko hawana uwezo kabisa wa kufaulu hivyo, never ever....

Hapa bongo ukishakuwa na pesa hakuna kinachoshindikana, paper za NECTA zinanunuliwa na watoto Wana solve mapema kabisa ...

Hio shule ada yake tu unaweza kula mwaka mzima ,kununua pepar wizaran kupitia kwa mamuruki ni kitu rahisi Sana .....mbaya zaidi wafanyakazi wengi wa serikali dawa yao ni pesa ,kwa million 20 anakuletea pepar la necta lotee mwezi mmoja kabla .....


Niamaini Mimi haya nayoyasema
Ni vema ungewasilisha ushahid wa unayoyasema. Ikiwemo signed confession ili mwanga uwepo.
Zaidi ya hapo utaonekana tu mpiga porojo
 
Nimegundua Kuna kizazi Cha wapumbavu sana. Sisi tulikuwa shule ya serikali michepuo miwili wakati inaanza na jumla tulikuwa 82.

My friend mwaka 2001 hiyo, hakuna aliyetoka na div 3 na wote tuliingia University na Leo tuna mawaziri wawili na makatibu wakuu pamoja na Senior Managers kibao.

Wengine Mahakamani ni Jaji mmoja na mahakimu kadhaa, so msishangae huo ufaulu nyie mpo busy kucheza viduku. Pale st Francis ni shuleshule tu, ukikutwa na simu ni nyumbani huwa hakuna majadiliano, ukipungua wastani ni nyumbani.

Shule mnaenda mnashikana na mademu mtaweza kusoma kweli? Unaenda shule una daftari unaandika nyimbo eti unataka kuwa Kama diamond sasa unasoma ili iwe nini?

Someni vijana
Uko sahihi mkuu. Nakumbuka Ilboru form four ya 2001 walipiga hizo one kama vichaa wakati shule nyingi zilikuwa kupata one ni miujiza. Kimsingi watu wanatakiwa wazingatie tu kuwa kwenye elimu hakuhitajiki mizaha. Mtoto akiwa serious lazima apasue tu.
 
Nidhamu wanaisingiziaga sana
Haujui tu

Binti zangu wamesoma hapo, najuwa ninachokisema.

Wana nidhamu ya hali ya juu.

Hata kama una mtoto legelege, akifika pale utashangaa likizo ya kwanza akirudi kwako atakavyokuwa amebadilika.

Wanastahili
 
Hivi pale St. Francis Girls Mbeya pana siri gani wazee? Mwaka huu licha ya kwamba imekuwa ya pili kitaifa lakini ufaulu wake ni wa ajabu na kuogofya sana.

Picha linaanza darasa lina watahiniwa 92 ambao wote wamepata div 1, hii si ajabu sana ajabu ni hili hapa kati ya hizo 1- 92, div 1.7 ambazo ndo ufaulu wa juu kabisa nchi hii kwa upande wa olevel zipo 79 yani 1.7 pale St Francis Girls zipo 79 kama utapata shida kuelewa na maanisha hivi wanafunzi waliopta A saba kwenye jumla la masomo yao wapo 79.

Mwanafunzi wa mwisho pale yani mwenye ufaulu dhaifu au unaweza kuuita goigoi ama kilaza, mmoja ana div 1.14 na mwingine ana div 1.13 na wapo wawili pekee.

Mabinti wamejua kukung'uta aisee div 1.10 ipo moja, 1.9 zipo 6 na 1.8 zipo 4

Kama unadhani maajabu yao mwaka huu ni hayo tu basi Pole mabinti hawa wameendeleza maajabu mpaka kwenye Wanafunzi bora ambapo kumi bora imepambwa na wao.Hatari sana hii mwanafunzi 1-5 kwenye kumi bora anatoka kwao afu wanajichomeka others kwenye 6,kisha namba 7 wanarudi wao afu 8,9 wanajikongoja fedha na ilboru kisha kumi kitabe kabisa wanamaliza wao. Kifupi 10 bora wanafunzi 7 wote wametoka St FRANCIS.

1. Consolata Prosper Luguva - St. Francis Mbeya[emoji837]

2. Butoi Ernest Kangaza - St. Francis[emoji837]

3. Wllhemia Steven - St. Francis [emoji837]

4. Cronel John - St Francis[emoji837]

5. Merry George Ngoso - St Francis[emoji837]

6. Holly Beda Lyimo - Bright Future
Girls[emoji837]

7. Brandina - St. Francis[emoji837]

8. Imamu Suleiman - Feza Boys

9. Mfalme Hamis Madili - Ilboru

10. Clara Straton - St. Francis[emoji837]

Huu ufaulu si wa kitoto, sasa nauliza siri yao hasa ni ipi maana tangu miaka hiyo hawa mabinti wamekuwa moto ina maana shule zingine wameshindwa kabisa kujifunza?

View attachment 2082037

View attachment 2082038
Majina ya kizungu tu ndiyo yametawala majina ya kiarabu lipo Moja tu makobazi mnakwama wapi?
 
Back
Top Bottom