Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Sio kweli, According to Socrates Bahati ni matunda ya juhudi, kwamba bahati haiwezi kuja tu mahali pasipo na juhudi.Sawa na kusema "Hata mwewe anatua palipo na mzoga".Ila msisahau maisha yanaegemea Sana kwenye bahati kuliko juhudi
Inawezekana mkuu.Kweli usome St Francis usijue uandishi wa sentensi ?!. Huna cha herufi kubwa, koma wala nukta !!. Halafu lugha upate 'A'
Acha kutafuta misifa
Si ni St.Francis au?!!!.Fuatilia msichana aliyeongoza kwa GPA UDSM mwaka jana.. halafu uje useme alisoma shule gani o level na advance
Siyo kweli .Inawezekana mkuu.
Hapa siyo sehemu rasmi ya kuandika kwa kufuata alama za uandishi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Hapo atawezaje kuchuana na mtoto wa St.Francis??.Hebu angalia hii mbuzi unatarajia afaulu mtihani?? Yani mbuzi inacheza na mbuzi wakati mwalimu anafundisha then unakuja kuongelea st Francis.
View attachment 2084165
Hapana ni mtandao wa internet ndiyo unaochangia watoto kufaulu vizuri zaidi siku hizi tofauti na hapo kabla ulipokuwa haupo. Kabla ya internet ilikuwa lazima utumie Library, kitu ambacho siku hizi siyo lazima.Mitihani ya siku hizi hamna kitu 1. Rais wa kwanza wa Tanzania ni nyerer......... 2. Binadamu ana macho mawi.......
Sawa mkuu acha tuoneAnzisha shule yako halafu ufanye kazi hiyo tuone km utafanikiwa.
Labda kwa ss weusi ndio maana hata hatuna uthubutu wa kufanya matukio ya hatari ktk maisha.Wenzetu wanaweka nia na wanafanya na always wanakuambia walitegemea kufanikiwa coz waliweka bidii huku wakimalizia na kumshukuru Mungu.Lakini ss eti ooh sikutegemea.TUWE WATU WA KUJIAMINI.Hiyo ni lugha tu Mzee,hata km mtu una uhakika na jambo fulani,lkn huwezi kuweka uhakika wa asilimia mia moja.Kwasababu Mwisho wa Siku Mwamuzi ni MUNGU.
MNMA anafundisha themes in African history first year wa EDUCATION wanaosoma historyAnafundisha chuo gani?.
Walichowaeleza ni Nini hebu fanya huo ubuyu shosti hata pm please Kama washindwa kukuweka hapa jukwaaniSikusoma hapo. Nilisoma na wanafunzi wa Alevel waliosoma hapo. Walikuwa na div 1 za 14 lakini wote walikuwa weupeee ndani. Sijawahi kuona mtu anatoka shule inafaulu wakawa weupe kichwani kiasi hicho. Walituelezea shule yao kwa undani na tulishangaa sana.
Hapo kabla kuna ndugu yetu alianza kusoma hapo. Alichotuelezea mhmmm. Alihamishwa fastaa.
Kumbe Dogo amerithi akili za mama yake.MNMA anafundisha themes in African history first year wa EDUCATION wanaosoma history
Ninakuelewa sana Mkuu,Watu wenye fikra Hizo nimewasoma kwenye Theories za Uchumi na Falsafa pia.Labda kwa ss weusi ndio maana hata hatuna uthubutu wa kufanya matukio ya hatari ktk maisha.Wenzetu wanaweka nia na wanafanya na always wanakuambia walitegemea kufanikiwa coz waliweka bidii huku wakimalizia na kumshukuru Mungu.Lakini ss eti ooh sikutegemea.TUWE WATU WA KUJIAMINI.
Poa.Sawa mkuu acha tuone
Alafu mama ake clouds hata hajataja status yake kuwa ni mhadhiriKumbe Dogo amerithi akili za mama yake.
Hivyo........?Alafu mama ake clouds hata hajataja status yake kuwa ni mhadhiri
Nadhani kuna uzi wake humuYule mwamba nasikia amefariki
Kumbe ndogo hivyo? Inashinda hizi za Primaly tunazolipa hapa DarMwaka jana ilikuwa around 2.5m
Mwaka huu sina uhakika ila inaweza kufika 3m
hakuna baraza la vyuo vikuu, mwalimu ndio anaamua ufaulu ama la, na wasichana wengi wanashindwa kufanya vizuri kwa ngazi ya chuo ni kwasababu ya rushwa ya ngono wanayoombwa kutoka kwa maporofesa uchwaraMpaka wenyewe wanashangaa lakini huku vyuoni wanaondoka na GPA za 2.9
Hata mama yake alivokua anaongea ulisikia vileeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan full comedy khaaahSasa mbona wakati anahojiwa na mwananchi alisema hakutegemea kuingia top 10 ila mapenzi ya Mungu.Ama kweli huko alipo baba wa taifa anaona adui wa nne wa taifa ambaye ni unafki.