St. Francis Mbeya kuna siri gani?

Kweli usome St Francis usijue uandishi wa sentensi ?!. Huna cha herufi kubwa, koma wala nukta !!. Halafu lugha upate 'A'

Acha kutafuta misifa
Inawezekana mkuu.

Hapa siyo sehemu rasmi ya kuandika kwa kufuata alama za uandishi.
 
Mitihani ya siku hizi hamna kitu 1. Rais wa kwanza wa Tanzania ni nyerer......... 2. Binadamu ana macho mawi.......
Hapana ni mtandao wa internet ndiyo unaochangia watoto kufaulu vizuri zaidi siku hizi tofauti na hapo kabla ulipokuwa haupo. Kabla ya internet ilikuwa lazima utumie Library, kitu ambacho siku hizi siyo lazima.
 
Hiyo ni lugha tu Mzee,hata km mtu una uhakika na jambo fulani,lkn huwezi kuweka uhakika wa asilimia mia moja.Kwasababu Mwisho wa Siku Mwamuzi ni MUNGU.
Labda kwa ss weusi ndio maana hata hatuna uthubutu wa kufanya matukio ya hatari ktk maisha.Wenzetu wanaweka nia na wanafanya na always wanakuambia walitegemea kufanikiwa coz waliweka bidii huku wakimalizia na kumshukuru Mungu.Lakini ss eti ooh sikutegemea.TUWE WATU WA KUJIAMINI.
 
Walichowaeleza ni Nini hebu fanya huo ubuyu shosti hata pm please Kama washindwa kukuweka hapa jukwaani
 
Ninakuelewa sana Mkuu,Watu wenye fikra Hizo nimewasoma kwenye Theories za Uchumi na Falsafa pia.
 
Kwani kimetokea nn jamani ndo nawasha data ivi nakutana na habari za mtakatifu Francis????
 
Mpaka wenyewe wanashangaa lakini huku vyuoni wanaondoka na GPA za 2.9
hakuna baraza la vyuo vikuu, mwalimu ndio anaamua ufaulu ama la, na wasichana wengi wanashindwa kufanya vizuri kwa ngazi ya chuo ni kwasababu ya rushwa ya ngono wanayoombwa kutoka kwa maporofesa uchwara
 
Sasa mbona wakati anahojiwa na mwananchi alisema hakutegemea kuingia top 10 ila mapenzi ya Mungu.Ama kweli huko alipo baba wa taifa anaona adui wa nne wa taifa ambaye ni unafki.
Hata mama yake alivokua anaongea ulisikia vileeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan full comedy khaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…