St. Francis Mbeya kuna siri gani?

Nakubaliana na unachosema ,ila ikumbukwe huyo mgonjwa ambaye anazungumziwa alifeli form two kwa hiyo umakini kwake ni mdogo huenda aliambiwa diagnosis kamili ya tatizo lake yeye akaishia tu njiani.

Lakini pia madaktari wana concentrate na treatment ya msingi ndio maana unaweza ukakuta kwenye diagnosis akaandika URTI (Upper respiratory tract infections ) bila ku specify lakini treatment atakupa sahihi kuokoa muda.
 
Daktari alivyomueleza mgonjwa alikuwa sahihi, mgonjwa alivyoelewa sio. Kuna ugonjwa unaitwa malaria ila hakuna ugonjwa unaitwa "infections".

Mtu anakuwa na infections ila hawi na ugonjwa wa infections.
Muda mwingine madakatari wana epuka kutumia medical terminologies kwa mgonjwa maana hawataelewana.

Imagine unamwambia mgonjwa u aumwa Pneumocystis Carini/Jiroveci Pneumonia (PCP) unahisi mgonjwa atakuelewa kweli au utazidi kumtisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…