St. Francis Mbeya kuna siri gani?

St. Francis Mbeya kuna siri gani?

Simuoni mjanja kuwa Rais

Nachomaanisha pamoja na kuwa na matokeo yasiyo mazuri shuleni bado hakukata tamaa

U Rais ni ngazi ya mwisho kabisa…ametokea mbali sana na mapito mengi sana kuanzia kujiendeleza hadi kufikia ngazi mbalimbali ikiwemo kuwa Mkuu wa taasisi za kimataifa kanda ya Tanzania kwa muda mrefu tu

Confidence yake kwny maeneo mengi aliyopita wengi tu wenye matokeo mazuri zaid yake hawana
Mkuu, wewe unamwona Samia mjanja sana kwa Magufuli kufa akawa Rais? Siyo wote wanapenda siasa ati. Actually, wapenda siasa ni wachache sana. Wakati Taifa la Isarel linaundwa 1947, Albert Einstein aliombwa kwenda kuwa Rais wao wa kwanza, akakataa.
 
Katika mazingira yetu, wengi wanaofanikiwa ni wenye elimu. Na elimu maana yake siyo tu div 1 point 7 ya form iv. Hata Samia ana elimu japo hakuwa Tanzania One.
Simuoni mjanja kuwa Rais

Nachomaanisha pamoja na kuwa na matokeo yasiyo mazuri shuleni bado hakukata tamaa

U Rais ni ngazi ya mwisho kabisa…ametokea mbali sana na mapito mengi sana kuanzia kujiendeleza hadi kufikia ngazi mbalimbali ikiwemo kuwa Mkuu wa taasisi za kimataifa kanda ya Tanzania kwa muda mrefu tu

Confidence yake kwny maeneo mengi aliyopita wengi tu wenye matokeo mazuri zaid yake hawana
 
St francis mbeya ni kawaida yao. Ufaulu wao haujaanza jana wala leo.

Kwanza unakuta topic za form 4 walishazimaliza wakiwa form 3. Wakiingia form 4 ni kujifunza jinsi ya kujibu mitihani kwa kufanya past papers. Likizo hamna kwenda na madaftari wala hamna kusoma tuition.
Ndo maana vyuoni hawaonekani
 
Unalosema ni kweli, angalia A zao ni za yale masomo ambayo wakipiga past paper za kutosha lazima wapate A. Waangalie katika physics Wana C na B za kutosha. Mwanafunzi akifundishwa vizuri mitihani ya kidato cha 4 ni rahisi sana kwa masomo ya sanaa.
Kwanza huo mchakato wa kupata nafasi pale unaufahamu vizuri? Ndungu yangu pale wanakwenda top cream,nina watoto wawili nawafahamu wamepita pale na wote wametoka na GPA ya 3.9 na 3.8 UDSM tena Civil Engineering na Geology.Tukubali tu pale wanakwenda watoto walio vizuri kichwani.
 
Hio shule inanunua mitihani na kufanya mwezi mmoja kabla ya mitihani ya taifa ,na huwa maswali yanarudiwa kwa msisitizo mkubwa Sana ......

Hao watoto wanaomaliza huko hawana uwezo kabisa wa kufaulu hivo ,never ever ,....

Hapa bongo ukishakiwa na pesa hakuna kinachoshinfikana ,pepar za necta zinanunuliwa na watoto Wana solve mapema kabisa ...

Hio shule ada yake tu unaweza kula mwaka mzima ,kununua pepar wizaran kupitia kwa mamuruki ni kitu rahisi Sana .....mbaya zaidi wafanyakazi wengi wa serikali dawa yao ni pesa ,kwa million 20 anakuletea pepar la necta lotee mwezi mmoja kabla .....


Niamaini Mimi haya nayoyasema
Kama sio chuki..tupe ushahidi kwa hizi tuhuma zako..

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maswali mepesi lakini mbona wanafunzi wengine kule Kazulamimba wanafeli? Hawa watoe strategies tujue wengine waige vipi. Inaniuma kuona karne hii wanafunzi wanashindwa kufaulu hata kidato cha nne. Kuna jamaa yangu alifeli form 2 nilisoma name shule moja ya ajabu ajabu uko. Juzi akanambia eti daktari alivyompima akamwambia anaumwa ugonjwa unaitwa "INFECTIONS", nikamuuliza mara mbili na akasisitiza sana.

Sasa taifa linakuwa na watu wa hivi hata kutumia mbolea shambani hawataweza, lishe kwa watoto hawawezi, uzalishaji wao kitaifa ni duni. Shule walienda kuishi, kuvaa sweta na kunywa uji. Elimu ya bongo hasa uswahilini uko ni ile wazazi wanawaambia watoto wao wakiwa wamefunga eti "mmetuchosha hebu shule zifunguliwe wazazi tupumzike". Hapo usitegemee maajabu ya kufaulu. Sasa hawa waliofaulu wangetoa strategies imekuwaje ingesaidia wengine
Katafute nafasi ya kidato Cha kwanza uone paper la mchujo atakalopewa mwanao wale wanachukua cream ya std 7 Kisha wanaenda kuinenepesha
 
Elimu ya siku hizi imekuwa mdebwedo sana! Ukitaka kujua hili waulize walimu wa vyuo na waajiri. Binafsi sio Mara moja nimewafanyia interview vijana kwenye mambo ya kazi na naishia kusikitika jinsi uelewa wao ulivo wa mashaka
Vijana wengi 0
 
Mkuu unashangaa nini??!!kwao elimue gani hapa tz??hii ya kukariri??tena unakariri kwenye mazingira mazuri!!!halafu wanaenda Hadi chuo kikuu halafu wakikosa ajira wanahangaika kitaa bila uwezo wa kujiajiri???si ndio!!!siku ukisikia matokeo ya mtihani w fom four kijana katengeneza jokofu la kutumia mafuta ya taa njoo uwasifu humu!! LAKINI kwao mtaala huu andika hao ni wajinga tu tena na hatma yao ni ya kijinga tu mkuu!!!
 
Katika mazingira yetu, wengi wanaofanikiwa ni wenye elimu. Na elimu maana yake siyo tu div 1 point 7 ya form iv. Hata Samia ana elimu japo hakuwa Tanzania One.
Sikuhizi kuwa ni A sio kutoboa kimaisha Kuna other factors tofauti na enzi za uhuru, so watoto wafunzwe na mengineyo nje ya kupata A tu za kwenye makaratasi
 
Shule za wavaa makobazi vipi?
Screenshot_20220115-190854_Samsung%20Internet.jpg
 
Sio kwamba hawafundishi ila naomba kujua data kama tatu:-

Wote walioingia walikuwa na Passmark kiasi gani (creme de la cream)
Michujo ilifanyika kiasi gani (yaani potential failures wote kuondolewa)
Ufundishaji mzuri na kulenga mitihani (sijajua uelewa wa hawa vijana wala thinking capacity yao ila Mitihani hii ilivyo unaweza ulenga mitihani kwa kukariri hata kama thinking capacity yako ni ndogo)

Kwahio binafsi ubora wa shule naupima kwa mtu kumtoa point A kwenda B; bila mchujo wala kuchagua wanaojiweza pekee..., kama mtu amekuja hajui kitu na after four years akapata hata three huenda shule hio imefanya kazi kuliko kuchukua the best na katika hao best wale wote ambao ni better kuwabakisha madarasa (hio haijengi sababu hata Div 1 mpaka Three kwa form four bado ni ufaulu na kuna a long way forward na kuna a room for improvement
[emoji108]
 
Katafute nafasi ya kidato Cha kwanza uone paper la mchujo atakalopewa mwanao wale wanachukua cream ya std 7 Kisha wanaenda kuinenepesha
Kama una mtoto ni average pale hana nafasi,hakuna blah blah,mtoto Kipanga atapeta,akiwa slow learner wewe tafuta kwingine,St.Francis wala usiifikirie kichwani mwako,nyingine ni Cannosa na Marian,hizo usisogelee pia.
 
Back
Top Bottom