St. Francis Mbeya kuna siri gani?

St. Francis Mbeya kuna siri gani?

Hii ni shule ya Feza girls sasa kwa mazingira haya unadhani mtoto atashindwa kupiga one kali ukicheki mazingira yapo safi na walimu wapo wazuri.
20220115_194803.jpg
20220115_194801.jpg
20220115_194759.jpg
20220115_194758.jpg
 
Hizo division one hazina maana kama badae maishani hawatakiuwa na hela, life hili kuwa na hela ndio kila kitu [emoji23][emoji23][emoji23], mimi sasa hivi naangalia A zangu za kwenye vyeti maeee hela ndio kila kitu
 
Hio shule inanunua mitihani na kufanya mwezi mmoja kabla ya mitihani ya taifa ,na huwa maswali yanarudiwa kwa msisitizo mkubwa Sana ......

Hao watoto wanaomaliza huko hawana uwezo kabisa wa kufaulu hivo ,never ever ,....

Hapa bongo ukishakiwa na pesa hakuna kinachoshinfikana ,pepar za necta zinanunuliwa na watoto Wana solve mapema kabisa ...

Hio shule ada yake tu unaweza kula mwaka mzima ,kununua pepar wizaran kupitia kwa mamuruki ni kitu rahisi Sana .....mbaya zaidi wafanyakazi wengi wa serikali dawa yao ni pesa ,kwa million 20 anakuletea pepar la necta lotee mwezi mmoja kabla .....


Niamaini Mimi haya nayoyasema
Ni wivu tuuuu
 
Nachojua watoto wa st Francis hata handwritting wanafunzi wooote ni ya aina moja tuu. Mengine watasema wengine
 
Hii ni shule ya Feza girls sasa kwa mazingira haya unadhani mtoto atashindwa kupiga one kali ukicheki mazingira yapo safi na walimu wapo wazuri.View attachment 2082654View attachment 2082655View attachment 2082656View attachment 2082657
Shule tulizosoma sisi unapewa tu namba ya mtihani kuhusu kusoma utajua mwenyewe, upambane Mchikichini, mara Mapambano karibia na pepa unaenda zako Pugu kupiga Prac za Physics, then unamalizia kwa Mzee Kiberiti Prac za Chemistry hiyo haitoshi mnajifundisha kufoji. Kudadadeki hili life tumshukuru Mungu hizi shule zetu Mungu anatupigania kwani mengine tunayo ya fanya mpaka kutoboa ni miujiza ya Mungu.

Sasa shule ina kila kitu michujo kila hatua then watu wanapiga vijiti vya saba eti unalalamika wamenunua, watu wamewekeza kwenye elimu na hawana masihala.

Ila yote kwa yote 1.7 au 1.3 A level ya serikali iheshimiwe maanake mbilinge zake Mungu mwenyewe anajua.

Hizi shule zetu za serikali basi tu sometimes matatizo ya kiuchumi ya familia zetu,ila kila mtu anapenda mwanae asome hizi shule za private zenye ufaulu mzuri,hapo St Francis kuna mpaka Waislam hawabagui ndio uone kuna baadhi ya wazazi hawataki masihala linapofika swala la elimu.
 
Hio shule inanunua mitihani na kufanya mwezi mmoja kabla ya mitihani ya taifa ,na huwa maswali yanarudiwa kwa msisitizo mkubwa Sana ......

Hao watoto wanaomaliza huko hawana uwezo kabisa wa kufaulu hivo ,never ever ,....

Hapa bongo ukishakiwa na pesa hakuna kinachoshinfikana ,pepar za necta zinanunuliwa na watoto Wana solve mapema kabisa ...

Hio shule ada yake tu unaweza kula mwaka mzima ,kununua pepar wizaran kupitia kwa mamuruki ni kitu rahisi Sana .....mbaya zaidi wafanyakazi wengi wa serikali dawa yao ni pesa ,kwa million 20 anakuletea pepar la necta lotee mwezi mmoja kabla .....


Niamaini Mimi haya nayoyasema
kausha Basi... mbona unaongea ukweli
 
Sikusoma hapo. Nilisoma na wanafunzi wa Alevel waliosoma hapo. Walikuwa na div 1 za 14 lakini wote walikuwa weupeee ndani. Sijawahi kuona mtu anatoka shule inafaulu wakawa weupe kichwani kiasi hicho. Walituelezea shule yao kwa undani na tulishangaa sana.
Hapo kabla kuna ndugu yetu alianza kusoma hapo. Alichotuelezea mhmmm. Alihamishwa fastaa.
Acha uongo mtoto wa kike
 
Mimi nimesoma chuo na watoto wanaotoka hizo shule mkuu ...

Siku ya mtihani wanakutana na maswali waliyokuwa wanasolve mwezi mmoja kabla ya necta ...

Sio kwamba siku ya mtihani wanasoviwa hapa ,ila pepar linasoviwa week kadhaa kbala ya necta na hayo maswali ndio yanatoka necta ,mbaya zaidi walimu wanawasisitiza ,.

Usiwe mjinga kuelewa mambo yanayoendelea huko ...

Wananunua mtihani ,pamoja na kuwa na mazingira mazuri ya kusomea ,walimu wazuri ,malazi ,na ufundishaji mzuri ....wananunua mtihani mkuu ....
ur very right
 
Back
Top Bottom